Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 621
- 1,298
Na vp ikiwa shortlisted kuna uhakika hapo?Yani status yako kwa App inatakiwa ibaki select for oral, ikichange mara kuandika selected for null...mara inarudi selected for oral hapo ni kipengele kupata placement.
Mkuu Ulifanya lini, Mark myword jina lako litatoka.... But kama iliwahi badirika badirika status hapo ndio issueMe haijawahi kubadilika ni selected for oral both web na app but hakuna chochote na watu washapata placement zile za cdo
Laizma iandike shortlisted for Oral, written or practical hakuna shortlisted tupu...ikiwa tupu hapo hamna kaziNa vp ikiwa shortlisted kuna uhakika hapo?
Mkuu Ulifanya lini, Mark myword jina lako litatoka.... But kama iliwahi badirika badirika status hapo ndio issue
Hili ni kosa kubwa sana. Much better apeleleze wanapoishi akijua awafuate kwao moja kwa moja kuliko kutumia mitandaoUjobless mbaya[emoji24][emoji24] Kuna chief ananiambia anawadm instagram viongoz wampatie fursa ya ajira mm nimemwambia pengin hizo account hawaendeshagi wao[emoji3]
Habari ya mjini ndio hiimsimu wa mvua huu majobless wenzangu tuchangamkie fursa maindi ya kuchoma na kuchemsha utumishi watatutoa dam [emoji1787] [emoji1787]
hivi kuna watu wana received kweli maana sisi wengine za MDa and LGa ndio zilikuwa za mwishoHabari ya mjini ndio hii
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Na mwaka umeisha [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 2822191
Zipo za kutosha mkuuhivi kuna watu wana received kweli maana sisi wengine za MDa and LGa ndio zilikuwa za mwisho
sasa wanafanya nini kama interview na advertisement hakuna si waanze kutoa placement nonstop.Habari ya mjini ndio hii
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Na mwaka umeisha [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 2822191
mnatakiwa mjiandae sana maana siku hizi received ni zakuskilizia sana
mHili ni kosa kubwa sana. Much better apeleleze wanapoishi akijua awafuate kwao moja kwa moja kuliko kutumia mitandao
we hujui tu tunayopitia kiongozi, mimi nina namba zao kila mwezi lazima niwatumie whatsapp CV yangu yaani hii potelea mbaliHili ni kosa kubwa sana. Much better apeleleze wanapoishi akijua awafuate kwao moja kwa moja kuliko kutumia mitandao
aisee mie mwenyewe na mpango huo..Ikifika December 1 hakuna news naacha kuweka MB labda waje wanipigie simu wenyewe kuniita kwenye interview [emoji28] aiwezekani miezi 6 yote Niko online kwa bajet kaliii sana ya MBs Yaani mimi ni wakuishi na Mb 200 siku 3 ili kusubria “call for interview “[emoji23] aseeee nimechokaaaa bora hata mnaosubiri placement dadeq
aisee mie mwenyewe na mpango huo..
Watakuwepohivi kuna watu wana received kweli maana sisi wengine za MDa and LGa ndio zilikuwa za mwisho
Ndio maajabu sasa haposasa wanafanya nini kama interview na advertisement hakuna si waanze kutoa placement nonstop.