El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
duhh kumbe
Hata huyo Electrical Engineer mmoja aliyepangwa Stamico kwenye majina ya MDA and LGA tulizofanya mwezi mwezi wa sita hilo jina hamna .
Huyu labda katika Data base kwa zile sahili za huko nyuma ila sio ya Electrical engineers MDA and LGA ya mwezi wa sita