El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
Hata huyo Electrical Engineer mmoja aliyepangwa Stamico kwenye majina ya MDA and LGA tulizofanya mwezi mwezi wa sita hilo jina hamna .
Huyu labda katika Data base kwa zile sahili za huko nyuma ila sio ya Electrical engineers MDA and LGA ya mwezi wa sita
Yeahduhh kumbe
hii hoja watu waizingatie sana,upepo wa panel una uwezo sana kukupa kazi ama kukulaza njaaKwani wanaosimamia Oral interview ni wakina nani saili za Utumishi kama sio Taasisi yenyewe!!!!Utumishi kwenye oral wao ni kusimamia tu na kuangalia mchakato unaendaje...
Sema upepo wa panel ukikujia vinzuri ni neema kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
wanataka kujua kwa sasa unafanya nn. maana mimi nilianza kufunguka nilipofika kuelezea kwa sasa nafanya nini wakaniambia bas ishia hapo tulitaka tujue unafanya nn kwa sasaWengine wana working experience ndefuuu mno ma taasisi kibao hapo sijui uwa wanaelezeaje in shortly [emoji28][emoji28]
TEMDO QUESTIONS INTERVIEW YA LEO(mechanical technician)
-advantages of pneumatic drive system over fluid drive system.
- What is bearing, explain major function of bearing
- advantages of cold working over hot/warm working
-explain three excessive oil consumption.
wanataka kujua kwa sasa unafanya nn. maana mimi nilianza kufunguka nilipofika kuelezea kwa sasa nafanya nini wakaniambia bas ishia hapo tulitaka tujue unafanya nn kwa sasa
Ukipata iyo nafasi tumia dakika moja na sekunde 30 kujielezea wewe, academic na professional background over.Wengine wana working experience ndefuuu mno ma taasisi kibao hapo sijui uwa wanaelezeaje in shortly [emoji28][emoji28]
Hongera sana mkuu, hatimaye nauli mpya utaendea nayo kwenye kituo cha kazi.Yaan na hizo nauli mpya naona kabisa jobless tunaenda kuumia, coz hizo gharama za Nauli kwa sisi wa mikoani ni hatarii
,[emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu acha tuu ngoja niwahi masijala ya wazi kabla ya nauli mpya hazijaanza kutumikaHongera sana mkuu, hatimaye nauli mpya utaendea nayo kwenye kituo cha kazi.
Kila la kheri kwenye majukumu yako mapya.
MREJESHO.
Wakuu nilikuwa nimeshataka kukata tamaa Ila Mungu anatuwazia mema kila wakati,
Nimebahatika kuchomoka kwenye database .
#This is December to remember.
Hongera mwamba kila la heri kakta utumishi wa ummaMREJESHO.
Wakuu nilikuwa nimeshataka kukata tamaa Ila Mungu anatuwazia mema kila wakati,
Nimebahatika kuchomoka kwenye database .
#This is December to remember.
Hongera sana mkuu kila kheri katika utumishi wako ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu hakika Mungu ni mwema.MREJESHO.
Wakuu nilikuwa nimeshataka kukata tamaa Ila Mungu anatuwazia mema kila wakati,
Nimebahatika kuchomoka kwenye database .
#This is December to remember.
hongera sana legend umesubiri sana placement mungu nae ametendaMREJESHO.
Wakuu nilikuwa nimeshataka kukata tamaa Ila Mungu anatuwazia mema kila wakati,
Nimebahatika kuchomoka kwenye database .
#This is December to remember.
Ulifanya lini oral mkuuMREJESHO.
Wakuu nilikuwa nimeshataka kukata tamaa Ila Mungu anatuwazia mema kila wakati,
Nimebahatika kuchomoka kwenye database .
#This is December to remember.