Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 429
- 1,340
Hizo ni za ndaniii, leo uhakika...Za ndani kabisaaa au ??
Mkuu umetoa sababu mbovu sana, issue n Public, lazima watu wafahamu, otherwise labda watatoa majina lkn kwa namna hii sio sawaJamani Mimo nimtaalamu wa Tehama, Hizo Email ni kweli kabisa wala sio Sparm ...cz ina Private Domain so ni valid kabisa na wala hazina shaka yoyote.
Kuhusu why watumiwe EMAILS na sio PDF Sababu ni hizi hapa.
Kwanza ni bora wao Email, wengine waliitwa practical Interview Kwa sms, tena one day before ambayo ilikuwa haijawa planned...
Ila mimi Naona Bora wasitoe Majina Maana wakitoa majina ,kuna watu wana Pdf ya walioitwa Interview wataangalia na Pdf ya Walipata ya mungu mengi kuna watu labda hawakufanya interview ila jina bahati mbaya limetokea kwenye mkeka Typing Error.....So watanzania lazima tu wataanza mapungufu...
Tatu; kuna majina ambayo either mwisho yana ubini na wa viongozi lazima italeta shida cz kuna asilimia 99 wapo...So walichotumia Tra ni busara....... Japokuwaaaa;-
Mkuu Majina watoe thn muanze kusema , Fulani BinMkuu umetoa sababu mbovu sana, issue n Public, lazima watu wafahamu, otherwise labda watatoa majina lkn kwa namna hii sio sawa
Mbona utumish walikuwa wanaweka na hakuwa na malalamiko yote yaleMkuu Majina watoe thn muanze kusema , Fulani Bin
Mtaalamu wa IT chunguza tofauti hapo kwenye hizo e-mail mbili alizoshare mdau.Jamani Mimo nimtaalamu wa Tehama, Hizo Email ni kweli kabisa wala sio Sparm ...cz ina Private Domain so ni valid kabisa na wala hazina shaka yoyote.
Kuhusu why watumiwe EMAILS na sio PDF Sababu ni hizi hapa.
Kwanza ni bora wao Email, wengine waliitwa practical Interview Kwa sms, tena one day before ambayo ilikuwa haijawa planned...
Ila mimi Naona Bora wasitoe Majina Maana wakitoa majina ,kuna watu wana Pdf ya walioitwa Interview wataangalia na Pdf ya Walipata ya mungu mengi kuna watu labda hawakufanya interview ila jina bahati mbaya limetokea kwenye mkeka Typing Error.....So watanzania lazima tu wataanza mapungufu...
Tatu; kuna majina ambayo either mwisho yana ubini na wa viongozi lazima italeta shida cz kuna asilimia 99 wapo...So walichotumia Tra ni busara....... Japokuwaaaa;-
Mkuu Watoe thn muanze kusema Fulani ,ni mtoto wa fulani ....Inaumiza bora wasitoe.... Anyway Utajisikiaje mfano leo upo Mwanza...thn nakutumia Sms kesho unatakiwa Dar kuna Interview... ???... Boss hii kitu iliwakuta watu wa ICT technician na hawakuwa na sehemu wanaweza kwenda kulalamika...Hii Nchi pambana kivyako watoto wako wasije kuwa kama wewe....Mkuu Majina watoe thn muanze kusema , Fulani Bin
ahsante kwa machache mazito.Mkuu Watoe thn muanze kusema Fulani ,ni mtoto wa fulani ....Inaumiza bora wasitoe.... Anyway Utajisikiaje mfano leo upo Mwanza...thn nakutumia Sms kesho unatakiwa Dar kuna Interview... ???... Boss hii kitu iliwakuta watu wa ICT technician na hawakuwa na sehemu wanaweza kwenda kulalamika...Hii Nchi pambana kivyako watoto wako wasije kuwa kama wewe....
Kikubwa umekosa mshukuru mungu, huwezi Jua kwa haya macho ya kawaida umeona umekosa kitu cha maana na kikubwa ambacho labda kingekutoa sehemu moja kwenda nyengine... But hujui labda kuna neema kubwa ambayo imeandaliwa kwako.....Au kuna shari kubwa mungu ameiepusha kwako, Kuna watumishi ambao day one since wananza hapo TRA walikuwa very proud but leo kazi hawana na wapo jera... Reffernce ya Wale wa mtwara na Iringa....
So kikubwa kuwa mwingi wa alhamdullilah, ina umiza but tujifunze kumtegemea Allah yeye ndio anagawa ridhki , yani sisi hatuna uwezo wowote, wala nguvu za kupambania ridhki zetu ila yeye... Ukienda Muhimbili pale kuna mtu ana billion kwenye account ila hawezi nyanyua hata mguu kitandani ....Mkuuu Ukitaka kujua thamani ya hapa duniani ni Afya... Kama ingekuwa inauzwa basi masikini ndio wangekuwa matajiri wengi ....
Waache wasitoe majina, waache waweke wakwao na wachache wa bahati but trust in alllah.
Mkuu Kwenye Cyber space , Tunaangalia Validy ya Domain ..... Kuhakiki kuwa hiyo Emails ni valid or invalid..... Domain kwa kiswahili ni kikoa. Mfano: domain za taasisi za elimu ni .ac.tz domain za organization za tanzania .or.tz so domain ya TRA ni private domain yenye initial tra.go.tz so ni valid kabisa haina ukakasi hata kidogo ndio yenyewe kabisa 100% kama sio yenyewe mimi na left JAMII FORUMMtaalamu wa IT chunguza tofauti hapo kwenye hizo e-mail mbili alizoshare mdau.
Kubwa zaidi, barua za TRA zinamtaja mdau kwa majina, siyo hiyo dear applicant,.
mimi nilishawaambia hiyo sio spam email kama ukiona kwako kimya ujue baba jane bye bye ujipange upya au tusubiri iyo tareh 8 tuone watakaoenda kuripoti wataambiwaje.Mkuu Kwenye Cyber space , Tunaangalia Validy ya Domain ..... Kuhakiki kuwa hiyo Emails ni valid or invalid..... Domain kwa kiswahili ni kikoa. Mfano: domain za taasisi za elimu ni .ac.tz domain za organization za tanzania .or.tz so domain ya TRA ni private domain yenye initial tra.go.tz so ni valid kabisa haina ukakasi hata kidogo ndio yenyewe kabisa 100% kama sio yenyewe mimi na left JAMII FORUM
Dah, umeongea ukweli sana mkuu, it makes a lot of sense!Jamani Mimo nimtaalamu wa Tehama, Hizo Email ni kweli kabisa wala sio Sparm ...cz ina Private Domain so ni valid kabisa na wala hazina shaka yoyote.
Kuhusu why watumiwe EMAILS na sio PDF Sababu ni hizi hapa.
Kwanza ni bora wao Email, wengine waliitwa practical Interview Kwa sms, tena one day before ambayo ilikuwa haijawa planned...
Ila mimi Naona Bora wasitoe Majina Maana wakitoa majina ,kuna watu wana Pdf ya walioitwa Interview wataangalia na Pdf ya Walipata ya mungu mengi kuna watu labda hawakufanya interview ila jina bahati mbaya limetokea kwenye mkeka Typing Error.....So watanzania lazima tu wataanza mapungufu...
Tatu; kuna majina ambayo either mwisho yana ubini na wa viongozi lazima italeta shida cz kuna asilimia 99 wapo...So walichotumia Tra ni busara....... Japokuwaaaa;-
WAKUU LEO KUNA MKEKA WA PLACEMENT UTUMISHI, USIKOSE BUNDLE NI BONGE LA PDFFF
UTUMISHI WALISHASEMA NA WALIZUNGUKA SANA , KIPINDI KILE TRA WAMEJITOA WAKASEMA HAKUTAKUWA NA FAIR KWENYE KUAJIRI KAMA ILIVYOKUWAGA MWANZO KABLA HAIJAANZISHWA TAASISITRA tanzania njooni
WAKUU LEO KUNA MKEKA WA PLACEMENT UTUMISHI, USIKOSE BUNDLE NI BONGE LA PDFFF
Na UTUMISHI Ndio ukombozi yani....Na tumainiAsante IT natamani watu waendelee kutoa shuhuda
Na UTUMISHI Ndio ukombozi yani....Na tumaini
Mbn hata huko TRA WAMEPAPA watu bila connection mkuu....kuomba t mung km rziki ipo ipoo tuuKabisa Mkuu UTUMISHI japo wanachelewa lakini wanaokoa Sana kwa tusio na connection
Mbn hata huko TRA WAMEPAPA watu bila connection mkuu....kuomba t mung km rziki ipo ipoo tuuKabisa Mkuu UTUMISHI japo wanachelewa lakini wanaokoa Sana kwa tusio na connection