zoga
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 779
- 1,527
Kwenye Oral kuelewa ni ngumu sana watu wangapi wameingizwa kama wamepiga written..Hawawezi kuweka watu wa magumashi pekee. Huwa wanamix kidogo ili wapate watetezi. Wanaweza kupiga ratio ya 4:6. Yaani wa 4 magumashi wa 2 kihalali. Ndio maana wamekua wazito kutoa pdf. Watu tuna pdf hadi za call for interview tutaanza kurencocile huko kama hao waliopata wamefanya written? Tutarudi kwenye pdf ya oral kureconcile mpaka tujue haki imefanyika au la? ndio maana wanaogopa kutoa pdf
Yote hayo tunasema kila mtu anabahati yake...
Sent using Jamii Forums mobile app