Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Attachments

jaman hawa utumishi wametugeuza sisi ndio ma IT sasa.yaan kila baada ya dk 2 mtu unaingia web πŸ˜† πŸ˜†
 
jaman hawa utumishi wametugeuza sisi ndio ma IT sasa.yaan kila baada ya dk 2 mtu unaingia web πŸ˜† πŸ˜†
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Acha tu mkuu, ni shida, mimi sijui natumia bando la shingapi kwa wiki
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Acha tu mkuu, ni shida, mimi sijui natumia bando la shingapi kwa wiki
🀣 🀣 hatari watuonee huruma jaman na sisi tuna roho..
 
Vipi utaleft saa ngapi?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Maana jamaa innojembe kaleta proof
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…