Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa mliotaka taasisi ziajiri zenyewe nadhani Sasa mmeona uhalisia,
Labda pengine waliotaka taasisi ziajiri zenyewe ni wale wenye connection hence walikuwa wanataka ziajiri zenyewe ili wachomekwe.
 
Hawa watu mbona wengi wao sura zinaonesha age imesogea sana aisee.
Hahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],ndio Tanzania hiyo , unaambiwa kila uhuni unawezekana nchi hii
Usishangae mkuu ,nchi ngumu hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa

Sasa mfano kama Mpka leo kuna watu wa MDA & LGA wa mwezi 9 majina hayajatoka sasa hapo alaumiwe mwenye majina ,au ambaye hajapelekewa majina??
Mwenye majina alaumiwe....!!!kwnn asitoe mapema!!!
Narudia tena Mama wa Watu(Mhagama) kawaachia laana Utumishi na huko tunakoelekea na wao watakuwa wanatuma kwa njia ya email[emoji25][emoji25][emoji25]....
Ni swala la mda tu...
 
Kwa mliotaka taasisi ziajiri zenyewe nadhani Sasa mmeona uhalisia,
Labda pengine waliotaka taasisi ziajiri zenyewe ni wale wenye connection hence walikuwa wanataka ziajiri zenyewe ili wachomekwe.
Possibly Kuna watu hata interview wanaweza wakawa hawakufanya na wameitwa kazini. Utumishi wanamapungufu Yao ila wapo fair.
 
Possibly Kuna watu hata interview wanaweza wakawa hawakufanya na wameitwa kazini. Utumishi wanamapungufu Yao ila wapo fair.
Yaani nakumbuka kipindi kile 2017 Kuna jamaa tulisoma naye OLEVEL yeye alisoma IFM, Degree ya Tax mgt alipata kazi TRA kama tax mgt officer II bila connection fairly and transparently
 
Mkuu kada gani mana na mm nilifanya siku iyo.

Wakuu Nimerudi Online; Nawaombeni Niwaambie Kitu... Na hii ndio itakuwa conclussion yangu Kuhusu Utumishi Sitaongea Tena...

1. Wewe uliyefanya interview Ambaye Ile post hadi leo haijatoa...umefanya mwezi /miezi... Thn upo nyumbani huna kazi....
Cz najua wengine hata akili zime stack kila ukiomba kazi hupati So now ulivyofika oral ukapumua ukasema let kwanza niwait wakitoa kama sipo nianze tena harakati Naongea na wewe....

2. Kwa akili za kawaida Shida ipo Utumishi au shida ipo kwa Taasisi...?..

My Opinion: Sijui shida ipo wapi ,ila nahisi asilimia 75 shida ipo utumishi kwa sababu........

Kama watu washafanya oral utumishi walitakiwa watoe majina ili wajivue lawama ,kule kwenye Taasisi ndio iwe kazi yao sasa , kulaumiwa wakiwasubirisha watu kuingia kazini.

3. Mimi nafikiri utumishi wangeweka standards bwana baada ya oral matokeo yawe ndani ya muda furani.... Cz kwa hichi kinachoendelea Mfano TRA zile interview za watu wa MDA wameenda nao Sambamba hope na leo watu wapo kwenye seminar japo waliitwa kwa Emails... Hii hapa inaleta picture kuwa kama usaili wangesimamia Utumishi hadi leo oral ingekuwa tayari ila kuitwa kazini ingekuwa 0-0.

4. Mwaka jana Raisi samia alivyokuwa anahutubia kuhusu utumishi aliwauliza mnashida gani?? Mbona hadi leo watu washafanya interview miezi miwili na wanasema hamuwapi watu wao???.....huwezi amini ilikiwa saa 4 hadi saa 7 majina karibia elfu 3 watu wakaitwa kazini.....So hope nahisi Utumishi kuna shida sehemu....Ingekuwa hakuna shida wangetoa procedure....Ni heri baada ya Oral umwambie yule mtahiniwa bwana hapa majibu yatatoka baada ya Miezi 5 au 6....Yule mtu inakuwa rahisi kuelewa kuliko hichi...

5. Conclussion;- Utumishi wana mazuri 10000000. Ila hili la kuchelewesha kuita watu usaili &
Placement ....Its a torture...... Maana inafika stage Jobless anavurugwa akili akiomba kazi Private hapati, Huku anasubiria Oral anaamua kujipa hope ngoja niwait ...Huku napo anawaitishwa.
UTUMISHI MIYEYUSHO SANA
YAANI
tangazo mfano wanatoa 20/03/2023
Call for interview 10/07/2023
Placement 10/12/2023
Yaani kuanzia mwezi wa tatu uwe na bando mpaka uje upate placement.
 
UTUMISHI MIYEYUSHO SANA
YAANI
tangazo mfano wanatoa 20/03/2023
Call for interview 10/07/2023
Placement 10/12/2023
Yaani kuanzia mwezi wa tatu uwe na bando mpaka uje upate placement.
ni mapumbafu si mchezo yanawaza padiem tu kila siku call for interview alaf placement hayatoi.
 
Waache Wakae na Ma PDF yao, Yani mtu ana PDF anaamua tu kwa Interest zake Akae nayo ....Si kwa sababu wakitoa hawapati Per Diem .... Wewe Mtu usaili Gani unakaa Miezi hata 9 sasa si mtu unaweza hata sahau ,...Wakae nayo tuuu... Wanazingua
Dahh inakatisha matumaini
 
Dahh inakatisha matumaini
Watoe PDF mtu hajapata ajue anajitafutaje kwengine ,ila hii ni torture siku mbili uangalie PDF ... Sasa Wakae Nayo Kwanza Hatuyataki...

Taasisi inashindwa kujisimamia ndio maana mpka Mataasisi mengine yanajitoa ...Yani Mchakato mrefu bila sababu ya Msingi yoyote ...

Wewe umeletewa taasisi fulani inataka watu ushafanya usaili umemaliza... Mwite achukue barua akahangaike na boss wake mbele Huko.
 
Waache Wakae na Ma PDF yao, Yani mtu ana PDF anaamua tu kwa Interest zake Akae nayo ....Si kwa sababu wakitoa hawapati Per Diem .... Wewe Mtu usaili Gani unakaa Miezi hata 9 sasa si mtu unaweza hata sahau ,...Wakae nayo tuuu... Wanazingua
interview za kuingia peponi izo..
 
Taasisi Yoyote ikiwa chini ya serikali Huduma lazima wananchi wapige kelele.... Ingekuwa Taasisi Private impewa jukumi hili usingeona malalamiko ....Unaona Tanesco wapewe watu private uone kama umeme utakatika....Ukatike wapate hasara.

Leo mitandao ya simu ingekuwa ni ya serikali ungekaa siku 2 sometimes mawasiliano hakuna....
Ila private hukuti hivyo vitu..

Si mnaona TTCL yani mtendaji amekaa Shirika linakufa mikononi mwake analiona.... Anaacha kujiongeza huwezi ku compete na Tigo,voda ,airtel wewe si shirika la serikali jiongeze achana na voice wekeza kwenye Data watu wanatumia data sana now... Weka Buku 1000 raia Apate Gb 1.2 kubali kuingia hasara hata kwa mwaka ,wavute watajaa tu ... Yani watendaji wa serikali nashindwaga kuelewa Either mfumo au nini.
 
Yani Ukikaa Chini kila ukipiga Hesabu useme labda Taasisi Ndio zinachelewesha unaona kabisa hesabu hazibalance... Taasisi zinacheleweshaje wakati umeita hadi watu interview?? Ungeona kama bado hawaeleweki Kwann usinge mute na wewe ????

Bunge wanatangazaga ila wanasimamia wenyewe wakuu , Za Bunge watu wakitoka Oral hawamalizi miezi 2 washaitwa.
 
Back
Top Bottom