BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Hahaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ,hatari mzeekama ni mtoto anakua na anazeeka [emoji1787] [emoji1787]
Hahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],ndio Tanzania hiyo , unaambiwa kila uhuni unawezekana nchi hiiHawa watu mbona wengi wao sura zinaonesha age imesogea sana aisee.
Mwenye majina alaumiwe....!!!kwnn asitoe mapema!!!Sasa
Sasa mfano kama Mpka leo kuna watu wa MDA & LGA wa mwezi 9 majina hayajatoka sasa hapo alaumiwe mwenye majina ,au ambaye hajapelekewa majina??
Mkuu kada gani mana na mm nilifanya siku iyo.kuna kina sisi tulifanya m.d.a na l.g.a tarehe 8 na 9 november cjui huo mkeka utatoka lini aisee..
Possibly Kuna watu hata interview wanaweza wakawa hawakufanya na wameitwa kazini. Utumishi wanamapungufu Yao ila wapo fair.Kwa mliotaka taasisi ziajiri zenyewe nadhani Sasa mmeona uhalisia,
Labda pengine waliotaka taasisi ziajiri zenyewe ni wale wenye connection hence walikuwa wanataka ziajiri zenyewe ili wachomekwe.
Yaani nakumbuka kipindi kile 2017 Kuna jamaa tulisoma naye OLEVEL yeye alisoma IFM, Degree ya Tax mgt alipata kazi TRA kama tax mgt officer II bila connection fairly and transparentlyPossibly Kuna watu hata interview wanaweza wakawa hawakufanya na wameitwa kazini. Utumishi wanamapungufu Yao ila wapo fair.
Wengi sana walipata fair, hata paper zao ukichemka unaona kabisa umechemka,Yaani nakumbuka kipindi kile 2017 Kuna jamaa tulisoma naye OLEVEL yeye alisoma IFM, Degree ya Tax mgt alipata kazi TRA kama tax mgt officer II bila connection fairly and transparently
Mkuu kada gani mana na mm nilifanya siku iyo.
UTUMISHI MIYEYUSHO SANAWakuu Nimerudi Online; Nawaombeni Niwaambie Kitu... Na hii ndio itakuwa conclussion yangu Kuhusu Utumishi Sitaongea Tena...
1. Wewe uliyefanya interview Ambaye Ile post hadi leo haijatoa...umefanya mwezi /miezi... Thn upo nyumbani huna kazi....
Cz najua wengine hata akili zime stack kila ukiomba kazi hupati So now ulivyofika oral ukapumua ukasema let kwanza niwait wakitoa kama sipo nianze tena harakati Naongea na wewe....
2. Kwa akili za kawaida Shida ipo Utumishi au shida ipo kwa Taasisi...?..
My Opinion: Sijui shida ipo wapi ,ila nahisi asilimia 75 shida ipo utumishi kwa sababu........
Kama watu washafanya oral utumishi walitakiwa watoe majina ili wajivue lawama ,kule kwenye Taasisi ndio iwe kazi yao sasa , kulaumiwa wakiwasubirisha watu kuingia kazini.
3. Mimi nafikiri utumishi wangeweka standards bwana baada ya oral matokeo yawe ndani ya muda furani.... Cz kwa hichi kinachoendelea Mfano TRA zile interview za watu wa MDA wameenda nao Sambamba hope na leo watu wapo kwenye seminar japo waliitwa kwa Emails... Hii hapa inaleta picture kuwa kama usaili wangesimamia Utumishi hadi leo oral ingekuwa tayari ila kuitwa kazini ingekuwa 0-0.
4. Mwaka jana Raisi samia alivyokuwa anahutubia kuhusu utumishi aliwauliza mnashida gani?? Mbona hadi leo watu washafanya interview miezi miwili na wanasema hamuwapi watu wao???.....huwezi amini ilikiwa saa 4 hadi saa 7 majina karibia elfu 3 watu wakaitwa kazini.....So hope nahisi Utumishi kuna shida sehemu....Ingekuwa hakuna shida wangetoa procedure....Ni heri baada ya Oral umwambie yule mtahiniwa bwana hapa majibu yatatoka baada ya Miezi 5 au 6....Yule mtu inakuwa rahisi kuelewa kuliko hichi...
5. Conclussion;- Utumishi wana mazuri 10000000. Ila hili la kuchelewesha kuita watu usaili &
Placement ....Its a torture...... Maana inafika stage Jobless anavurugwa akili akiomba kazi Private hapati, Huku anasubiria Oral anaamua kujipa hope ngoja niwait ...Huku napo anawaitishwa.
ni mapumbafu si mchezo yanawaza padiem tu kila siku call for interview alaf placement hayatoi.UTUMISHI MIYEYUSHO SANA
YAANI
tangazo mfano wanatoa 20/03/2023
Call for interview 10/07/2023
Placement 10/12/2023
Yaani kuanzia mwezi wa tatu uwe na bando mpaka uje upate placement.
Yaan mpaka mtu unakuwa Kama mjingani mapumbafu si mchezo yanawaza padiem tu kila siku call for interview alaf placement hayatoi.
Waache Wakae na Ma PDF yao, Yani mtu ana PDF anaamua tu kwa Interest zake Akae nayo ....Si kwa sababu wakitoa hawapati Per Diem .... Wewe Mtu usaili Gani unakaa Miezi hata 9 sasa si mtu unaweza hata sahau ,...Wakae nayo tuuu... WanazinguaITpersonel VP Leo tutegemee pdf ?
Dahh inakatisha matumainiWaache Wakae na Ma PDF yao, Yani mtu ana PDF anaamua tu kwa Interest zake Akae nayo ....Si kwa sababu wakitoa hawapati Per Diem .... Wewe Mtu usaili Gani unakaa Miezi hata 9 sasa si mtu unaweza hata sahau ,...Wakae nayo tuuu... Wanazingua
Watoe PDF mtu hajapata ajue anajitafutaje kwengine ,ila hii ni torture siku mbili uangalie PDF ... Sasa Wakae Nayo Kwanza Hatuyataki...Dahh inakatisha matumaini
interview za kuingia peponi izo..Waache Wakae na Ma PDF yao, Yani mtu ana PDF anaamua tu kwa Interest zake Akae nayo ....Si kwa sababu wakitoa hawapati Per Diem .... Wewe Mtu usaili Gani unakaa Miezi hata 9 sasa si mtu unaweza hata sahau ,...Wakae nayo tuuu... Wanazingua
mashoga hayo mamamamae zao....interview za kuingia peponi izo..