BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Watumishi wa DCEA wengi ni PoliceHiyo sehemu ni special case, hata mimi niliwahi kujiuliza hilo swali.
Kazi zake ni Sensitive huenda wana namna yao ya kupata hao watumishi.
Kudeal na akila Pablo Escobar sio kazi lelemama
umeona sasa utumishi walivyoKitaalamu Nitamshangaa Leo Atoe Majina 14... Thn Kesho au kesho kutwa liwekwe PDF jengine huo utakuwa ni Utoto..... Yani tuseme PDF kai merge Kajimegea 14 ndio aka post.
Utumishi Kumbe mmewafanyisha Watu interview Mwezi wa 6. Na majina hamkutoa ...Hivi mnajua Nauli Wakuu ilivyo Ngumu?? 😭
Wadau wengi sana wamelamba asali....Jobless for life
59KAANGALIENI MKEKA MSEME LEO UNA MAJINA MANGAPI NDIO NI DOWNLOAD
Ikiwezekana afute kabla IT Personel hajaona hii ile vita naona inarudi
Mkuu sikukatishi tamaa ila Artisan wa AC pale MNH hamna kitu, salary hata hio 500k haifiki...usiwe na higher expectations ukipata utajuta.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] IT Personel akiiona hii itakua tabu..
🤣 🤣 🤣 nani uyo..[emoji23][emoji23][emoji23] hizi vita kumbe mmeshamjua anaezianzishaga?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] nani uyo..
kuna asali pale usisikilize maneno ya watu..Kwenye maelezo ya kazi waliweka scale zao za salary sijui ilikua TGS ngap nshasahau ila I think ilikua 500k+ kama sijasahau....ila all in all ngojea tusubrie tuone kama tutachaguliwa au laa! Hayo mengne ndyo tutayabagein
kuna asali pale usisikilize maneno ya watu..
hali inatisha..Ata kukiwa na sukariguru tutaendapo tu [emoji23][emoji23]
Utumishi ni takataka.