ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Yaaani haya mambo ya kwenda masjala ya wazi. Ivi ukienda Kama wikiendi mfano jmosi utawakuta?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Na furaha aliyonayo sijui kama atakumbuka.
Maana ile kucheki jina unakuta ni lako kiusahihi, kuna kakiwewe fulani hivi kinakujia huku ukigubikwa na kujiamini sana
Sidhani, labda IT maana huwa anaupload PDF hata weekendYaaani haya mambo ya kwenda masjala ya wazi. Ivi ukienda Kama wikiendi mfano jmosi utawakuta?
Asa Pdf likitoka ijumaa jioni, huo uvumilivu wa kusubiri j3 mbona itakuwa mbali aseeSidhani, labda IT maana huwa anaupload PDF hata weekend
🤣🤣🤣 Ikiwezekana wafanye mpango na weekend wawepo ofisini sio🤣🤣🤣Asa Pdf likitoka ijumaa jioni, huo uvumilivu wa kusubiri j3 mbona itakuwa mbali asee
Ndiyo Mkuu asa wanasemaga ndani ya siku Saba wakimaanisha siku Saba zipi. Mfano wametoa placement j3 siku Saba zinaishia jpili itakuwaje sasa nikienda j3 nyingine siku ya nane😂😂😂🤣🤣🤣 Ikiwezekana wafanye mpango na weekend wawepo ofisini sio🤣🤣🤣
Siku saba za kaziiNdiyo Mkuu asa wanasemaga ndani ya siku Saba wakimaanisha siku Saba zipi. Mfano wametoa placement j3 siku Saba zinaishia jpili itakuwaje sasa nikienda j3 nyingine siku ya nane😂😂😂
Siku saba za kazii
Hapo subiri asali, unaweza ukachomoka first round au ukatokea databaseAisee Mimi kwangu kote inasema tu SELECTED FOR oral interview
Amina Mungu ajaaliye iwe hivyoHapo subiri asali, unaweza ukachomoka first round au ukatokea database
Tupo wengi Mkuu naona tuendelee Kuwait tuIla utumishi mtatuuwa, mbona kada yangu kila mkeka sioni jina lolote dah.
Noma sana😁Ila utumishi mtatuuwa, mbona kada yangu kila mkeka sioni jina lolote dah.
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
NDUGU ZANGU MACHOZI YA FURAHA YAMENITIRIRIKA, HATIMAE MUNGU AMESIKIA DUA ZANGU [emoji120][emoji120], WAKUU NIMETOBOA
hongera kaka.mtuletee zabibuNdugu yenu pia hii ni December to Remember Mungu amenitendea.
Nawasihi msikate tamaa pambaneni.
Hongera IT wetu wa mchongo, Sema ulikuwa na beat sana mpk nikadhan mtu wa system kumbe ndo ulikuwa unapga ramliNDUGU ZANGU MACHOZI YA FURAHA YAMENITIRIRIKA, HATIMAE MUNGU AMESIKIA DUA ZANGU [emoji120][emoji120], WAKUU NIMETOBOA
muwe mnatutumia ela ya bando majobless wastaafu..Wakuu nikitulia nitajibu majibu yote.... But nina uhakika wa Asilimia 75. % account yako isipobadirika lazima urambe asali...tena wanyuki wadogo.
Nitatoa technic pia nilifanyaje nikaweza kutoboa written , practical na oral.... Japo najua oral sikuwa nimejibu kwa ufasaha sana but confidence matter.
Nilifanya interview 2, moja nilifika practical nikatoka kwenye game...hii ndio nikadoboa....
Pia kwenye hizi mishe ,Pia tusisahau kuomba wakuu...mungu yupo , omba na sali kwa imani utapata tu...japo kuwa kuna muda imani inakatika ila kile ni huwa kipimo.
Nikitulia nitajibu comment ya mmoja mmoja na taasisi gani nimepata.. ila sio halmashauri wakuu... Siku ya ku report nitapiga hadi picture ya kazi kwangu.