Wakuu nikitulia nitajibu majibu yote.... But nina uhakika wa Asilimia 75. % account yako isipobadirika lazima urambe asali...tena wanyuki wadogo.
Nitatoa technic pia nilifanyaje nikaweza kutoboa written , practical na oral.... Japo najua oral sikuwa nimejibu kwa ufasaha sana but confidence matter.
Nilifanya interview 2, moja nilifika practical nikatoka kwenye game...hii ndio nikadoboa....
Pia kwenye hizi mishe ,Pia tusisahau kuomba wakuu...mungu yupo , omba na sali kwa imani utapata tu...japo kuwa kuna muda imani inakatika ila kile ni huwa kipimo.
Nikitulia nitajibu comment ya mmoja mmoja na taasisi gani nimepata.. ila sio halmashauri wakuu... Siku ya ku report nitapiga hadi picture ya kazi kwangu.