ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Uchache wa nafasi na ratio waliyoweka per 1 post. Hapo Nadhani nafasi zilizotangazwa zilikuwa hazizidi 5.Kama hivi, Sema hii naona huwa inawaumiza sana wenetu, Mungu awape nguvu...........View attachment 2850434
Tupia picha ya jengo la masjala ya wazi MkuuWakuu Naendelea Vizuri ,Sijawatupa wadau... Nikipata nafasi ya kutulia nitajibu pongezi ya Mtu mmoja mmoja, na kutoa ushauri...
Ila nilifanikiwa kuchukua barua utumishi na nilipeleka kituo cha kazi, Napenda nimshukuru Mungu sana, Pamoja na utumishi wa umma kwa kutoa kazi pila Upendeleo hata kidogo, yani wanafanya haki 100% ...
Nitatoa briefly njia niliyotumia mpka nikafanikiwa kupata kazi, Serikalini...Pia baada ya kufika huku nimeshuhudia zile process wanazojadiri wadau humu almost ndio zile ..zile, yani ukifika automatically unaona process zina flow. Pia kuhusu mshahara wa Taasisi na tamisemi kutofautiana ni kweli. Diploma wa taasisi anamwacha mbali mtu wa Tamisemi au wizara tena HQ. Yani Wewe ukiwa na bachelor ya Account na mwenzako. Wewe upo wizara yeye taasisi anakupiga bonge la Gap.
So wadau nitashare experience ,since nimeona jina mpka kufika kituo cha kazi.🙏
Sheria za Utumishi naogopa boss Wangu, But masijara ya wazi ipo Majengo ya Asha rose migiro kule juu,Tupia picha ya jengo la masjala ya wazi Mkuu
Asante kwa taarifa ya ufafanuzi juu ya masjala ya waziSheria za Utumishi naogopa boss Wangu, But masijara ya wazi ipo Majengo ya Asha rose migiro kule juu,
Yani ndio majengo ya mwisho ukitoka hapo mbele unaona, Nyumba tu zina bati bati za rangi zinazofanana...
Ukifika unakutana na kibanda cha mlinzi..
unatembea hatua kama 5 kama unaelekea kwenye office ya utawala, unakula kulia ni kichumba tu ,kina dirisha ., Ukitaka kuchukua barua unapanda kingazi kama zipo pando 2 3. Pembeni yake kuna ubao wa matangazo...
Mmh swali la status ulifanikiwa kuwauliza hao ma IT?Jamaa wako fair kabisa tena kabisa... Msichoke kama umefauru lazima upate kazi, Na wao hawahusiki kwenye kuchelewesha placement... Hata kidogo... Taasisi Ndio zinawakwamisha Utumishi.
Aisee kama mtu hujapata kazi, Thn Taasisi Zikawa zinaajiri Wenyewe Sheikh Kazi utakuwa nayo... Saliiii sanaaa utumishi wadumu.
Yaan hayo mataasisi hata yakichelewa sawa maana asali zao ni nzito. Ila huko halmashauri wawe tu wanawahisha maana asali yao ni ya Mbu tuJamaa wako fair kabisa tena kabisa... Msichoke kama umefauru lazima upate kazi, Na wao hawahusiki kwenye kuchelewesha placement... Hata kidogo... Taasisi Ndio zinawakwamisha Utumishi.
Aisee kama mtu hujapata kazi, Thn Taasisi Zikawa zinaajiri Wenyewe Sheikh Kazi utakuwa nayo... Saliiii sanaaa utumishi wadumu.
Aisee IT sema kuhusu statusMmh swali la status ulifanikiwa kuwauliza hao ma IT?
Wakala, naona umeanza majukumu yako vyema kwa kasi ya ajabu ndugu wakala.Wakuu Utumishi wanatenda haki, tena haki Ipo ...na haki yako haipotei ukiona Utumishi umeenda Kufanya Interview Kama umepata 49... Boss hiyo ni kweli yani hata warudie kusahihisha ...Wale jamaa nahisi wanatumia Computer
Barua Unafata Masijara, IT ni Jengo la Utawala ... Pale pembeni .But ili uende utawala unatakiwa umwambie mlinzi unaenda kitengo gani na unashida gani, na lazima uandike kwenye daftari na number ya simu.... Sasa yanini wakati barua ninayo ...🤣Mmh swali la status ulifanikiwa kuwauliza hao ma IT?
BOSS NIAMINI MIMI SINA CONNECTION, NATOKEA BUKOBA... TENA MAMA ,BABA WOTE NI WAKULIMAWakala, naona umeanza majukumu yako vyema kwa kasi ya ajabu ndugu wakala.
Shukuru umepata hiyo nafasi, majukumu ya uwakala hautayaweza, ni mazito sana kwako.BOSS NIAMINI MIMI SINA CONNECTION, NATOKEA BUKOBA... TENA MAMA ,BABA WOTE NI WAKULIMA
ulifanya oral interview gani mwez wa ngapiBOSS NIAMINI MIMI SINA CONNECTION, NATOKEA BUKOBA... TENA MAMA ,BABA WOTE NI WAKULIMA
Nilifanya Mwezi wa 4. na wenzangu wote waliitwa nikawa bado mimi na jamaa mmoja, Mimi mkeka umetoka mimi na huyo jamaa wote tumo.ulifanya oral interview gani mwez wa ngapi
mwezi wa nne zile za egaNilifanya Mwezi wa 4. na wenzangu wote waliitwa nikawa bado mimi na jamaa mmoja, Mimi mkeka umetoka mimi na huyo jamaa wote tumo.
Kada ICT SECURITY.
Hongera, nipe na mimi mbinu sasa ya kutoboa maana nimesha kandwa interview mbili utumishi ya kwanza sikufika 50% ya pili nimepata 64% ila wakachukua kuanzia 75 nafasi ilikua moja, je nifanye nini na mimi niweze kutoboa maana kiukweli umri unaenda nafasi zenyewe chache na zinatoka kwa mbinde.Nilifanya Mwezi wa 4. na wenzangu wote waliitwa nikawa bado mimi na jamaa mmoja, Mimi mkeka umetoka mimi na huyo jamaa wote tumo.
Kada ICT SECURITY.
hongera sana aisee hii interview nilikuwepo nikakandwa. sasa wamekupeleka kwenye security au kada nyingneNilifanya Mwezi wa 4. na wenzangu wote waliitwa nikawa bado mimi na jamaa mmoja, Mimi mkeka umetoka mimi na huyo jamaa wote tumo.
Kada ICT SECURITY.
Ili ufanikiwe unatakiwa Ujijue upo bora kwenye Kada ipi, Cz kuna watu yeye database yupo, Admin yupo, Networking yupo, Security twende, System analyst tuondoke...Hongera, nipe na mimi mbinu sasa ya kutoboa maana nimesha kandwa interview mbili utumishi ya kwanza sikufika 50% ya pili nimepata 64% ila wakachukua kuanzia 75 nafasi ilikua moja, je nifanye nini na mimi niweze kutoboa maana kiukweli umri unaenda nafasi zenyewe chache na zinatoka kwa mbinde.
Pia kwa sasa sina received hata moja, nitumie njia au mbinu zipi niweze kufika oral japo mara mbili zote sifanikiwi, au ndio yale kama baadhi ya wadau wanasema unapoitwa interview make sure huagi mtu yeyote yule pengine awe wa karibu sana maana binadamu tuna mengi....