Wakuu Naendelea Vizuri ,Sijawatupa wadau... Nikipata nafasi ya kutulia nitajibu pongezi ya Mtu mmoja mmoja, na kutoa ushauri...
Ila nilifanikiwa kuchukua barua utumishi na nilipeleka kituo cha kazi, Napenda nimshukuru Mungu sana, Pamoja na utumishi wa umma kwa kutoa kazi pila Upendeleo hata kidogo, yani wanafanya haki 100% ...
Nitatoa briefly njia niliyotumia mpka nikafanikiwa kupata kazi, Serikalini...Pia baada ya kufika huku nimeshuhudia zile process wanazojadiri wadau humu almost ndio zile ..zile, yani ukifika automatically unaona process zina flow. Pia kuhusu mshahara wa Taasisi na tamisemi kutofautiana ni kweli. Diploma wa taasisi anamwacha mbali mtu wa Tamisemi au wizara tena HQ. Yani Wewe ukiwa na bachelor ya Account na mwenzako. Wewe upo wizara yeye taasisi anakupiga bonge la Gap.
So wadau nitashare experience ,since nimeona jina mpka kufika kituo cha kazi.🙏