Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Type error written ya nne..Hapo uliposema written ya none ambayo ndio imekupeleka oral umemanisha nini chief??
We Fala jifunze kuandika kwanza .Wakuu hata mkiiniita nimekuwa wakara wa Utumishi, Its Fine....But Sali Omba Mungu kapige Interview ...Boss kule Nina uhakika , Mimi kwetu hakuna mtu aliyewahi kuwa Mtumishi but nimepata Tena bila connection ya Namna yoyote ileeee... Usikate tamaa zikitokea nafasi ombaaa. One day utafanikiwa kuyakata machungu ya nauli......
KWENYE SANDUKU LA KURA 2025 RAISI SAMIA ANAKURA YAKE KUTOKA KWANGU, AISEE AMENITOA JARARANI NILIPIGIKA, NILIKUWA NAKOSA HATA MIA TANO SOMETIMES.... NILIKUWA NAJIHISI MNYONGE SANA KUKAA NA WASHKAJI ZANGU ....sitosahau kuna siku nachati na demu ananiambia naomba vocha ya buku ,na kiukweli nilikuwa sina...Hapo nina Age ya miaka 32... Still sina muelekeo wowote nishajaribu kazi sehemu mbali mbali , amount kubwa kupata kwa mwezi ilikuwa laki 4.... Hapo nauli, kula ,kodi na upo Mkoa wa watu..... Mungu amuweke raisi samia... Azidi kuwainua watoto wa masikini, hii cake anahakikisha wote wanaila...[emoji120], Wakuu neno langu moja usikate tamaaa, usikubali kikwazo chochote kikurudishe nyuma, Kaza shikilia hapo hapo kwa utumishi unauramba [emoji120]
Relax mkuu hakuna haja ya matusiWe Fala jifunze kuandika kwanza .
Mkuu ukiwa Jobless mtu anakuwa na Hasira sana 🤣🤣, Hata mwenyewe akiambiwa katukana kisa nini hajui, Bro stress za kuwa jobless mtu akishindwa kuzi control anakuwa kama kawehuka flani hivi... Maana ukimtukana mtu ambaye humjui ni sawa amejitukana mwenyewe ...Relax mkuu hakuna haja ya matusi
Bro wangu, tafuta hela kwanza 🤣 ,stress zitakuja kukuua mbwa wewe🤣We Fala jifunze kuandika kwanza .
Jobless for life...sisi wengn ni majobless konki..tushazoea ukipata unashkr ukikosa unashkr cku znaenda..Mkuu ukiwa Jobless mtu anakuwa na Hasira sana [emoji1787][emoji1787], Hata mwenyewe akiambiwa katukana kisa nini hajui, Bro stress za kuwa jobless mtu akishindwa kuzi control anakuwa kama kawehuka flani hivi... Maana ukimtukana mtu ambaye humjui ni sawa amejitukana mwenyewe ...
Hujaelewa nilichoandika kwenye hoja ya kuwa politically motivated,Mazingira Mazuri Ya Uongozi ,Ndio Yamesababisha Nipate Mkuu. Na siasa ndio inaamua kila kitu. Si unaona magufuri alizuia kuajiri na watu wengine hawakuwa promoted hata kazini?? Hata bei ya sukari ni politically motivated mkuu hatuwezi tofautisha siasa na maisha ya kila kitu. So shukrani zangu kwa serikali ya mama samia...Boss nikikuambia nilipauka sijui unaelewa Mkuu
Kakwambia ukweli l na r zitakuletea shida, ukiambiwa uandike ripoti halafu uoneshe kuwa na tatizo la r na l utaonekana kituko ofisiniBro wangu, tafuta hela kwanza 🤣 ,stress zitakuja kukuua mbwa wewe🤣
Na kaja na ID mpya, unaweza kukuta kwenye ID ya zamani alikuwa anatukana UtumishiNaona sasa kaanza na kupiga kampeni kabisa...
Boss wangu ,kuna kuandika kiswahili kweli?? thn wala hazinipi shida ila siwezi kuwa carefully to that extent kwenye sehemu ambayo haihitaji hicho kitu... Yani nianze kucheck spelling error humu, wakati naandika sifaidiki chochote just for fun..tu.Kakwambia ukweli l na r zitakuletea shida, ukiambiwa uandike ripoti halafu uoneshe kuwa na tatizo la r na l utaonekana kituko ofisini
🤣🤣 Sijawahi tukana utumishi zaidi ya kusema kwann wanachelewesha Placement ...aloooo nyie kumbe walikuwa wamenipeleka kwenye shimo la asali lenyewe 🤣 yani kule wanapotagia kabisaNa kaja na ID mpya, unaweza kukuta kwenye ID ya zamani alikuwa anatukana Utumishi
Hiyo yote baada ya kutoka kama "best loser" u-wakala umeona hautoshi, unaamia kuwa chawa kabisa.Yani nikitoka huku, nakuwa chawa wa Mama samia kule kwenye jukwaa la siasa... 🤣🤣, ...yani mtu akimsema vibaya raisi samia Ugomvi wake sio wa nchi hiii... 🤣
🤣🤣🤣 Mkuu wangu,Hiyo yote baada ya kutoka kama "best loser" u-wakala umeona hautoshi, unaamia kuwa chawa kabisa.
Mkuu weka akiba ya maneno, shukuru umepata kazi, maisha ya kusubiri kipato kila baada ya siku 28 sio mepesi kihivyo. Muhim usiweke matarajio makubwa hivo na kukamia kwa level hiyo.Mkuu mimi nilipauka sana, alafu nilipoteza kujiamini kabisa...ikafika kipindi najitenga na watu, yani nilikuwa kwenye hali flani hivi ya msongo...yani umemaliza chuo thn bi mkubwa anategemea kidogo wewe umsaidie ila msaada kwake huna . ile hali ilikuwa inaniumiza sana ..yani kukosa mimi nilikuwa siumii ila kushindwa msaidia bi mkubwa wakati amenisomesha kwa kuunga...
Alafu wanao uliosoma nao almost wote wanatoboa , wanakazi wanaendesha ndiga, status wanapost wapo labda semina au kwenye events zao za kikazi nyieeee ,
Daahh hii kazi nitaiheshimu sana ,nahisi naweza kuwa nalala ofisini. 🤣
Ila nawaombea wote muondoke na hiyo hali, yani kila mtu apate kazi
Umetuahidi utatuelezea safari yako ya kusaka mrija wa Asali, nakufuatilia naona bado huleti hiyo Historia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu wangu,