Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
Through back! Hii ndio ilikuwa comment yangu bora kabisa kwa mwaka huu hapa JF na pia ndio comment maridadi kabisa tangu nijiunge na JF miaka 7 iliyopita.

Ukiniambia kwa mwaka huu umepiga hatua gani katika ndoto zako, basi sina budi kukuonesha hii comment!

Tunapoelekea kuumaliza huu mwaka hatuna budi kumshukuru anayetupatia Pumzi ya bure na kutujalia riziki ya kila siku kwa njia mbalimbali. Endapo hii pumzi ingekuwa tunailipia Bill kama ilivyo bill za umeme, maji, vifurushi vya internet, wachache sana wangemudu hii huduma, ni raha iliyoje kupewa pumzivya bure then ukaanza kuhangaikia mengine.

Uzi huu sprit yake ni KUTOKATA TAMAA, USIACHE KUJARIBU KILA UNAPOPATA NAFASI. tuishi humu.

Wale wote ambao bado wanasubiri placement, kuitwa kwenye interview msiache hii sprit ishini nayo.

Nafasi yoyote ikitokea halafu ukawa na vigezo usiache kuongeza received hata kama unasubiri placement, hivyo hivyo ukiitwa kwenye Interview nenda kafanye hata kama unasubiri placement. Siku ukiona jina lako kwenye placement basi utakuwa na uhalali wa kuacha kufanya usaili(Si huwa unawaona wazee wa mjengoni wakishashinda uchaguzi na kampeni wanaacha moja kwa moja, wengine wanaenda mbali kabisa kwa kutoonekana Jimboni hadi msimu mwingine tena[emoji2][emoji2]...!).

Kwa wale ambao wamefanikiwa kuchomoka tusiache kuwapa miongozi wanaoendelea kupambana(yaani mfundishe kuvua samaki, badala ya kumpa samaki), pia tupunguze kejeli kwa kuwaona si lolote wengine ambao hawajaweza kuchomoka kisa muda wao bado haujafika.

Ahmet meck pro mazaga one na wengineo mumepotea sana humu bila shaka mpo salama huko mlipo na mnaendelea kusukuma gurudumu vizuri
 
Through back! Hii ndio ilikuwa comment yangu bora kabisa kwa mwaka huu hapa JF na pia ndio comment maridadi kabisa tangu nijiunge na JF miaka 7 iliyopita.

Ukiniambia kwa mwaka huu umepiga hatua gani katika ndoto zako, basi sina budi kukuonesha hii comment!

Tunapoelekea kuumaliza huu mwaka hatuna budi kumshukuru anayetupatia Pumzi ya bure na kutujalia riziki ya kila siku kwa njia mbalimbali. Endapo hii pumzi ingekuwa tunailipia Bill kama ilivyo bill za umeme, maji, vifurushi vya internet, wachache sana wangemudu hii huduma, ni raha iliyoje kupewa pumzivya bure then ukaanza kuhangaikia mengine.

Uzi huu sprit yake ni KUTOKATA TAMAA, USIACHE KUJARIBU KILA UNAPOPATA NAFASI. tuishi humu.

Wale wote ambao bado wanasubiri placement, kuitwa kwenye interview msiache hii sprit ishini nayo.

Nafasi yoyote ikitokea halafu ukawa na vigezo usiache kuongeza received hata kama unasubiri placement, hivyo hivyo ukiitwa kwenye Interview nenda kafanye hata kama unasubiri placement. Siku ukiona jina lako kwenye placement basi utakuwa na uhalali wa kuacha kufanya usaili(Si huwa unawaona wazee wa mjengoni wakishashinda uchaguzi na kampeni wanaacha moja kwa moja, wengine wanaenda mbali kabisa kwa kutoonekana Jimboni hadi msimu mwingine tena[emoji2][emoji2]...!).

Kwa wale ambao wamefanikiwa kuchomoka tusiache kuwapa miongozi wanaoendelea kupambana(yaani mfundishe kuvua samaki, badala ya kumpa samaki), pia tupunguze kejeli kwa kuwaona si lolote wengine ambao hawajaweza kuchomoka kisa muda wao bado haujafika.

Ahmet meck pro mazaga one na wengineo mumepotea sana humu bila shaka mpo salama huko mlipo na mnaendelea kusukuma gurudumu vizuri
Mkuu Asante sana kwa ujumbe huu.
Iwe chachu ya kuinuka Tena kwa wale ambao pengne tumeanza kukata tamaa.
Mungu ni mwema mwaka ujao ikawe kheri na mafanikio kwa jobless tukapate kazi.

Mtaani ni kugumu Sanaa.
 
Back
Top Bottom