Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

correction; TRA haikujitoa bali mashirika ya umma yalipewa kibali kujiendesha yenyewe na TR by order ya Rais.
 
Haki ya kupata ilipatikana pale ambapo muajiri hakukupa taarifa ya kuongeza prob. kabla ya miezi mitatu ya mwisho kwa scenario hii mwezi October 2023 alipaswa akujulishe kama anania ya kuongeza muda ila kwakuwa alikaa kimya basi we subiria barua.
Sawa mkuu
 
Nina shida Ndugu zangu,Kwenye tangazo la kuita watu Kwenye usailii inaonyeshaa Siku ya usailii ni tarehe 16 na Kwenye ajira portal pia ilikuwa inasema hivyo but saivii nimeingia kuangalia Kwenye ajira portal tarehe imebadilika wameandika tarehe 15 ila wao hawajasema kama Kuna mabadiliko yeyote ko hapo tarehe ya ukwelii ni ipii??
 
wanasemaga pdf ndio inakuwa na ratiba ya ukweli ila kama kuna mabadiliko wataweka tangazo kwenye web yao uwe unapitia pale kwenye matangazo
 
Leo katika historia (9Th January) ni siku ambayo IT alimwaga moto pale penye section ya chini ya vimulimuli, moto ukiwa umepamba majina mengi likiwemo langu, ni siku muhimu ya kuikumbuka.

Wito: Usikate tamaa, usiache kwenda kujaribu hadi kieleweke.
Kwangu Mm November nadhani itakuwa siku ya kukumbukwa sana baada ya kubadilishiwa Masharti ya Ajira kutoka Mkataba kwenda kudumu.

Hakika tumekumbukwa baada ya kitambo kirefu sana! Sasa wacha tulinde maliasili zetu kwa uadilifu mkubwa sana..

Tusikate Tamaa..
 
Sema yote kufurahisha genge lakini kwa hile nyomi bila Mungu kusimama upande wako hutoboi
 
Oral niliifanya tu vizuri,na mpaka sasa status inasoma selected for oral interview both web na app, wasiwasi wangu ni kuwa isije ikawa kwa vile nimepata hii ya contract wakaninyima zile za permanent
Haina uhusiano ukipata wanakuita na ile inakua imeishia pale unawapa taarifa wanamsogeza mwingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…