Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwenetu wapi Buhigwe nini.

Ofisini unakutana na kiti cha mbao mguu mmoja mfupi.

Ofisini hapo nje zimepaki baiskeli na pikipiki za Watumishi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Katika kulalamika kwamba hapa nilipo mazingira yake sio rafiki,kuna mkongwe mmoja akasema ningepelekwa huko Buhigwe ningerudi siku hiyo hiyo mkoani kwangu. Sijajua hapo Buhigwe ni chaka kiasi gani.
 
Hapo hajaombwa matumizi kidogo kwa wazazi wa mke na wake. Kama ana mtoto anasoma ndio kabisaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…