Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hivi kuchomolewa kutoka database wanatumia vigezo gani..,mbona kama sielewi au kuna namna?
Maana unakuta mfano kada moja na kwa mwaka zimetoka interviews tatu au nne nk ,so kwenye hizo zote kuna watu wanabaki Data base
So labda wataangalia score rankings na vigezo vingine labda kama age na mwaka mtu aliograduate ,sina uhakika sana lakini
 
Kama kuna mtu Aliapply zile nafasi za Nmb basi afungue email yake, kwa wale wenye android waende kwenye neno "SPAM" wataona meseji ya advert kwa ajili ya aptitude test na pia wenye iphone waende sehemu iliyoandikwa "JUNK" pia wataona iyo meseji kwa ajili ya aptitude test. Test ni siku ya Jumanne ila mda upo tofauti tofauti.
 
Upande wangu bado ngoma draw, utumishi wamejaza viungo wakata umeme wote, game bado ngumu alafu kibaya jamaa wamebaki basi. Ila Mungu ni mwema ntatumia hata mipira iliyokufa (database) kumaliza game.
Hahaaa noma mkuu ,utumishi wamejaza viungo roho ya shetani halafu wamepaki train mkuu , weka mbali na watoto hiyo formation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…