El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
ngoja tusikilizie..Anasbr barua zipungue..
Kesho atamwaga mkeka mapema tu PDF anazo ni kupandsha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja tusikilizie..Anasbr barua zipungue..
Kesho atamwaga mkeka mapema tu PDF anazo ni kupandsha tu
Zile 300?Kama kuna mtu Aliapply zile nafasi za Nmb basi afungue email yake, kwa wale wenye android waende kwenye neno "SPAM" wataona meseji ya advert kwa ajili ya aptitude test na pia wenye iphone waende sehemu iliyoandikwa "JUNK" pia wataona iyo meseji kwa ajili ya aptitude test. Test ni siku ya Jumanne ila mda upo tofauti tofauti.
Ni mfumo mzuri kama ukiskiliza maelezo yao kwanini wameuleta kama kuondoa upendeleo wa kupandishwa madaraja kwa wanaostahili na vingine ila bado Una changamoto nyingi sanaWazee mnaionaje PEPMIS
ukifikilia sana hawa jamaa kichwa kinaweza kikabasti. 🤣 🤣Utumishi interview nyingi placements chache, jamaa kwenye kuitisha interview wapo very fast na makini ila wakishamaliza tu hakuna kinachoendelea.
Tena Keka nzito lile ambalo linatoa Taswira na Matumain ya Mama samia kwa vijana wake...aya sasa IT hebu test mitambo na pdf lenye watu hata 30 alafu ikifika ile mida yako dondosha la watu zaid ya mia.au siyo..
ukifikilia sana hawa jamaa kichwa kinaweza kikabasti. 🤣 🤣
Kabisa chiefHahaha utumishi hatari mkuu
aptitude test ni ujinga sio kipimo kile .Hivi utumishi hawawezi kutumia mfumo wa kufanya mitihani online kwa mfano aptitude test then ukifaulu sasa unaenda oral moja kwa moja kuliko hii ya sasa unaenda then wakandaji wanafanya yao ikiwa mtu nauli umeunga unga tuu....
na practical wafanye mfumo ganiHivi utumishi hawawezi kutumia mfumo wa kufanya mitihani online kwa mfano aptitude test then ukifaulu sasa unaenda oral moja kwa moja kuliko hii ya sasa unaenda then wakandaji wanafanya yao ikiwa mtu nauli umeunga unga tuu....
🤣🤣🤣🤣🤣aya sasa IT hebu test mitambo na pdf lenye watu hata 30 alafu ikifika ile mida yako dondosha la watu zaid ya mia.au siyo..
😂😂😂Hivi utumishi hawawezi kutumia mfumo wa kufanya mitihani online kwa mfano aptitude test then ukifaulu sasa unaenda oral moja kwa moja kuliko hii ya sasa unaenda then wakandaji wanafanya yao ikiwa mtu nauli umeunga unga tuu....
Sawa mkuu, issue za kuotea siyo...!aptitude test ni ujinga sio kipimo kile .
wacha tuendelee kuchoma nauli.
training ni masaa yasiyozidi mawili na ni maswala yanayohusiana na interview pamoja na huko kwenye maofisi ya watu.Wakuu habarini,
Samahani naomba kuuliza kwa waliowahi kuitwa training za Taesa 1.huwa zipo vipi?
2.vipi gharama za chakula malazi etc unajitegemea?