IT mtu wetuIT najua una PDF apo ebu pandisha watu kesho tuamkie masijala ya wazi
Tumechoka.
wanafundisha jinsi ya kujibu interview pia jinsi ya kubehave huko ofisini pia ethics za kazi. masaa hayazidi mawili labda miaka hii wawe wamechange mfumoWakuu habarini,
Samahani naomba kuuliza kwa waliowahi kuitwa training za Taesa 1.huwa zipo vipi?
2.vipi gharama za chakula malazi etc unajitegemea?
sema leo IT kama kasinzia hiviIT mida yako si ndio hii jaman. au unamalizia kucheza game kwanza..
Asante Bosswanafundisha jinsi ya kujibu interview pia jinsi ya kubehave huko ofisini pia ethics za kazi. masaa hayazidi mawili labda miaka hii wawe wamechange mfumo
unajigharamia mkuuAsante Boss
Na vp Kila kitu unajigharamia au wanasupport kidogo
Mbona nzito hii na siku zinakuwa Kama ngapi za hiyo training Mkuu.unajigharamia mkuu
itakua bado raia hawajaisha kulesema leo IT kama kasinzia hivi
IT najua yuko na PDFIT mtu wetu
Walisema soon itaanza hiyo.Hivi utumishi hawawezi kutumia mfumo wa kufanya mitihani online kwa mfano aptitude test then ukifaulu sasa unaenda oral moja kwa moja kuliko hii ya sasa unaenda then wakandaji wanafanya yao ikiwa mtu nauli umeunga unga tuu....
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£mmeona maendeleo ya jengo jipya la utumish jaman.muda sio mrefu tutaanza kukandiwa gorofani..
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Dah, jobless tuna vitukoIT mida yako si ndio hii jaman. au unamalizia kucheza game kwanza..
siku moja tu masaa hayazidi mawiliMbona nzito hii na siku zinakuwa Kama ngapi za hiyo training Mkuu.
Asante, Kiongozisiku moja tu masaa hayazidi mawili
barua bado zipo nying masijala ya waziitakua bado raia hawajaisha kule
kuanzia kesho pdf inaweza kupatikana ila siku za alhamis, ijumaa na jmos ndio inakuwaga na asilimia kuubwakwaiyo IT ndo umeamua kutuacha kwenye mataa. amna noma basi hata kesho sio mbaya sana ila isizidi kesho...
ujobless bhana.et alhamis naona mbali.. π πkuanzia kesho pdf inaweza kupatikana ila siku za alhamis, ijumaa na jmos ndio inakuwaga na asilimia kuubwa
tuombee iwe kesho pdfujobless bhana.et alhamis naona mbali.. π π