El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
mmhh kama ni hivyo basi sio kulima tu mpaka utavuna.. 🤣 🤣Tarehe moja mwezi huu mwanang
🤣🤣🤣🤣Daaaah haya maisha hayaaaammhh kama ni hivyo basi sio kulima tu mpaka utavuna.. 🤣 🤣
inategemea lakini unaweza kushangaa unaitwa mwezi wa pili tu apo🤣🤣🤣🤣Daaaah haya maisha hayaaaa
Et eeh, Basi ngoja nivute subira kaka maana mtaa mgumu kinoma, hata vibarua vyenyewe kuvipata ni mpaka uwe na connectioninategemea lakini unaweza kushangaa unaitwa mwezi wa pili tu apo
😂😂Sema siku zote mwenyezi Mungu ni wa watu wote, si wa mtu mmoja mmoja na ipo siku tutasheherekea mzee babamtaani kugumu naelewa hilo mie mwenzio nimeamua niwe mwizi wa kuku tu..
na iwe hivyo.Amen😂😂Sema siku zote mwenyezi Mungu ni wa watu wote, si wa mtu mmoja mmoja na ipo siku tutasheherekea mzee baba
Wale suma jkt watakavyokufukuza hautaaminiii...yani 2mekaa tu kusubir oral tunasogezwa uko yan full hekahekaTuungane kwenye maandamano ya amani ya j5 wiki hii nasi hadi ofisi za UTUMISHI pale UDOM Dkt. Asha Rose Miguro building huenda wakaelewa tunayoyapitia baada ya kutufanyisha ma oral interview yao[emoji28][emoji28].
Wahini tu wale jengo lenyewe kwanza halina fensi ya kuelewekaWale suma jkt watakavyokufukuza hautaaminiii...yani 2mekaa tu kusubir oral tunasogezwa uko yan full hekaheka
kumbuka serikali iliagiza shehena tani mia za virungu..Tuungane kwenye maandamano ya amani ya j5 wiki hii nasi hadi ofisi za UTUMISHI pale UDOM Dkt. Asha Rose Miguro building huenda wakaelewa tunayoyapitia baada ya kutufanyisha ma oral interview yao😅😅.
Kwan si maandamano ya amani ya kuwapongeza UTUMISHI namna wanavyochapa kazi au Kuna ubaya kufanya hivyo?😊😊kumbuka serikali iliagiza shehena tani mia za virungu..
Ukishazoea unasahau suruba zote,we hujui mtembea juani akipata pumziko kidogo kivulini husahau adha zote za jua.kwa style hii kuna mtu ataleta mchezo kazini kweli [emoji1787] [emoji1787]
ila kweli..Ukishazoea unasahau suruba zote,we hujui mtembea juani akipata pumziko kidogo kivulini husahau adha zote za jua.
Baada ya miezi tu unasahau kama ni wewe ulie kuwa unashinda kutwa nzima kwenye uzi wa ajira
Tumeumbiwa kusahau
Hivi kwanza niulize swali, Hivi huwa wanatumia muda gani mpaka kuita watu kwenye usaili yaan kutoka wanapotoa tangazo la kazi
Mwaka 2021 niliitwa interview ndani ya wiki mbili na majibu ya kazi yalitoka ndani ya wiki tatu baada ya interview.kuanzia miezi 2 mpaka 5
Basi hapo inaonekana kuitwa kwenye usaili na kazi, inatokana na uhitaji wa mwajiri anahitaji watu kwa muda ganiMwaka 2021 niliitwa interview ndani ya wiki mbili na majibu ya kazi yalitoka ndani ya wiki tatu baada ya interview
hayo mambo ya zamani yashapita sasa hiv unaweza kukaa hata miezi mi 5 usiitwe kwenye interviewMwaka 2021 niliitwa interview ndani ya wiki mbili na majibu ya kazi yalitoka ndani ya wiki tatu baada ya interview.
2021 ilikua ndani ya mwezi sasa hivi mtu unasahau hata kama ulishaapply.hayo mambo ya zamani yashapita sasa hiv unaweza kukaa hata miezi mi 5 usiitwe kwenye interview