El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
hii kuna kipindi niliona watu wanalalamikia inaonekana ni janga la kitaifa sio kwako tuHabari zenu
Naomba kuuliza swali, hv ni kawaida kwa mtu aliyepangiwa kazi halmashauri kucheleweshewa ela ya kujikimu au halmashauri yetu tuu??
Tunashughulikia vifungu pesa imeingia juzi bado vifungu havijasomaHabari zenu
Naomba kuuliza swali, hv ni kawaida kwa mtu aliyepangiwa kazi halmashauri kucheleweshewa ela ya kujikimu au halmashauri yetu tuu??
[emoji38][emoji38][emoji38] unaipata wap nguvu hiyo wakati kitaa Mambo yanasoma upande mmoja wa ajira tukwa style hii kuna mtu ataleta mchezo kazini kweli [emoji1787] [emoji1787]
Tupo kati kwa kati ajira mpya hakuna na database hayatoki majinaWadau naona hakuna ajira mpya, au neema kwa wanaosubiri kanzidata?
Ewura nenda usiulize mshahara,Wakuu. Nimeona nafasi za transfer za EWURA. Hiv Eng II analipwa Sh ngap?
Mpaka tumalize usafi sio maandamano...jaman IT vipi sasa. au mpaka maandamano yaishe..
dahh hali tete..Mpaka tumalize usafi sio maandamano...
huo mkeka unaokuja nazani hata simu zitakua zinazima...IT anasubiri awaone jobless kwenye maandamano ili awapige panga juu kwa juu mkafanye kazi mlipoandamania 😂
Binafsi nimeamua tu kuanza kujiandaa na received nilizonazo........ maana placement zimegoma[emoji23]huo mkeka unaokuja nazani hata simu zitakua zinazima...
Mkuu umezionea sehemu gani..?Wakuu. Nimeona nafasi za transfer za EWURA. Hiv Eng II analipwa Sh ngap?
mkuu pole sana ,sio wewe peke yakooHabari zenu
Naomba kuuliza swali, hv ni kawaida kwa mtu aliyepangiwa kazi halmashauri kucheleweshewa ela ya kujikimu au halmashauri yetu tuu??
Na huwa mreport kazin au ndo hadi waweke pesa hata ikichukua more than 3 months??mkuu pole sana ,sio wewe peke yakoo
Waachie PDF nzito wasakaji tupunguze stress ya hatima yetu....Jamani naona utumishi wametoa kazi uko.
Wenye taaluma zilizotangazwa nendani mkaongeze received uko.