Nimesoma Bsc in Building Economics(Quantity Surveying) niliweka hiyo ila ikawa inagoma nikajaribu kubadili nikaweka Bachelor degree in Quantity Surveying maana ni hiyohiyo ila wapi!Em screenshot job qualifications na course uliyosomea
Umesajiliwa na bodi ya ukadiriaji ujenzi.?Nimesoma Bsc in Building Economics(Quantity Surveying) niliweka hiyo ila ikawa inagoma nikajaribu kubadili nikaweka Bachelor degree in Quantity Surveying maana ni hiyohiyo ila wapi!
Yes na cheti kipoUmesajiliwa na bodi ya ukadiriaji ujenzi.?
Pale kwenye category ulipoweka cheti n sawa na category ya ajira ilipotoka.?Yes na cheti kipo
utumishi huwa wanakosea setting ya qualifications za hii post ya quantity surveyor kama zile za mwaka jana na mwaka huu zote naona wanaita shahada ya uhandisi, hapo ili ikubali km una cheti cha aqrb weka sehem ya professional badala ya kuweka sehem ya graduate kama ikigoma wafuate pale Kivukoni au Dodoma au wapigie simNimesoma Bsc in Building Economics(Quantity Surveying) niliweka hiyo ila ikawa inagoma nikajaribu kubadili nikaweka Bachelor degree in Quantity Surveying maana ni hiyohiyo ila wapi!
Fafanua kidogo mkuu.Pale kwenye category ulipoweka cheti n sawa na category ya ajira ilipotoka.?
Ahsante, Ngoja nijaribu hivi.utumishi huwa wanakosea setting ya qualifications za hii post ya quantity surveyor kama zile za mwaka jana na mwaka huu zote naona wanaita shahada ya uhandisi, hapo ili ikubali km una cheti cha aqrb weka sehem ya professional badala ya kuweka sehem ya graduate kama ikigoma wafuate pale Kivukoni au Dodoma au wapigie sim
portal ina technical problem, leo kutwa nzima ilikuwa under maintanance labda kesho itatengemaa....nami nimejaribu kumsaidia mtu kufanya application imeandika Failed na sikufanikiwa kabisaNimesoma Bsc in Building Economics(Quantity Surveying) niliweka hiyo ila ikawa inagoma nikajaribu kubadili nikaweka Bachelor degree in Quantity Surveying maana ni hiyohiyo ila wapi!
Wakati unajaza academic qualifications kuna sehemu pameandikwa program category ambazo ndio zile category wanazotangazia ajira sasa inatakiwa zifanane mf: ukiweka category ya IT bc ajira zinazokuhusu utakuwa unazikuta pale palipoandikwa IT and telecom ukikuta kwenye category nyingine itakataa kuomba hy kaziFafanua kidogo mkuu.
Zipo sawa mkuu.Wakati unajaza academic qualifications kuna sehemu pameandikwa program category ambazo ndio zile category wanazotangazia ajira sasa inatakiwa zifanane mf: ukiweka category ya IT bc ajira zinazokuhusu utakuwa unazikuta pale palipoandikwa IT and telecom ukikuta kwenye category nyingine itakataa kuomba hy kazi
Ngoja nisikilizie, ahsante.Wakati unajaza academic qualifications kuna sehemu pameandikwa program category ambazo ndio zile category wanazotangazia ajira sasa inatakiwa zifanane mf: ukiweka category ya IT bc ajira zinazokuhusu utakuwa unazikuta pale palipoandikwa IT and telecom ukikuta kwenye category nyingine itakataa kuomba hy kazi
Poapoa mkuu, nitajaribu na kesho pia.portal ina technical problem, leo kutwa nzima ilikuwa under maintanance labda kesho itatengemaa....nami nimejaribu kumsaidia mtu kufanya application imeandika Failed na sikufanikiwa kabisa
Hili goma kweli linafik mwez wa 2[emoji23]Tunayopita tunaosubiri placement(Database)...Daah Mungu atutetee sio kwa ukimya huu wa IT....
Tunayopita tunaosubiri placement(Database)...Daah Mungu atutetee sio kwa ukimya huu wa IT....
Aisee ni nomaaaTunayopita tunaosubiri placement(Database)...Daah Mungu atutetee sio kwa ukimya huu wa IT....
Bora ucheleweshewe ila upate, Halmashauri nyingine hela ya kujikimu raia hawajawahi kupata, utaambiwa kasubiri mshahara uingie ndio uje kuripoti.Habari zenu
Naomba kuuliza swali, hv ni kawaida kwa mtu aliyepangiwa kazi halmashauri kucheleweshewa ela ya kujikimu au halmashauri yetu tuu??
Ukiona haujapewa kabisa ujue wajanja wameshaipiga. Naungana nawe zifumuliwe Halmashauri wajirekebishe katika haya masuala, hela ya kujikimu ni hakibya mtumishi kupewaBora ucheleweshewe ila upate, Halmashauri nyingine hela ya kujikimu raia hawajawahi kupata, utaambiwa kasubiri mshahara uingie ndio uje kuripoti.
Halmashauri inatakiwa kufumuliwe fumuliwe watu wanafanya kazi kwa mazoea sana.