Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hivi hapa ndo nafanya oral tu halafu natoka DODOMA ndukii🏃au naomba muongozo wenu wazoefu
 

Attachments

  • Screenshot_20240214-084228.jpg
    84.1 KB · Views: 12
Naomba kuuliza, hivi haya mambo ya status za kwenye web na app zinamaanisha Nini?
1. Selected for oral interview ( yaani hapa haijawahi badilika toka mtu afaulu written na kufanya oral inasomeka in both app&web)
2. Selected for null baada ya kufanya oral( app not in web)
3. Not selected for null baada ya kufanya oral (app not in web)
4. Shortlisted baada ya kufanya oral ( app&web)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…