El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
Naona tupo live tunasikilizia... Leo labda kuna pdf itakua uploaded naona dalili.kile kimulimuli muda si mrefu kitawaka tena 🤣 🤣
SahauNaona tupo live tunasikilizia... Leo labda kuna pdf itakua uploaded naona dalili.
Dalilli leo ipoSahau
Haya siyo maishaDalilli leo ipo
aisee nipo live tokea saa 12 asubuhi kila baada ya sekunde tano naingia web.ukisikia unyanyasaji wa kimtandao ndio huu sasa..Naona tupo live tunasikilizia... Leo labda kuna pdf itakua uploaded naona dalili.
Unajinyanyasa mwenyewe mkuu, jipe muda kila siku ingia mara mbili au moja. utapigiwa hata simu na wadauaisee nipo live tokea saa 12 asubuhi kila baada ya sekunde tano naingia web.ukisikia unyanyasaji wa kimtandao ndio huu sasa..
Unajinyanyasa mwenyewe mkuu, jipe muda kila siku ingia mara mbili au moja. utapigiwa hata simu na wadau
Kawaida . Usichoke...aisee nipo live tokea saa 12 asubuhi kila baada ya sekunde tano naingia web.ukisikia unyanyasaji wa kimtandao ndio huu sasa..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Hapa kunakitu kinasakwa.....View attachment 2905837
Tuzidi kuomba .....Mungu ni mwema atajibu tu
Kuna namna watu watalamba asali direct kutoka Utumishi....Vipi hutaki vijana wasio na JKT kujaribu bahati yao[emoji23][emoji23]
Kuna namna watu watalamba asali direct kutoka Utumishi....
Imebakia umri (Tanapa)......
Tuzidi kuchochea moto [emoji95] kuelekea 2025
Afadhali. Hapa kuna mikeka itatoka rafu kdg angalau wengine tunaweza kubahatika[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Hapa kunakitu kinasakwa.....View attachment 2905837
Tuzidi kuomba .....Mungu ni mwema atajibu tu
Hapo usikute kuna mtoto wa kigogo kalalamika kwa daddy yake kuwa hicho kigezo kinamkwaza🤣🤣Yule alikuwa anasita kutuma maombi TAKUKURU kwa kukosa kigezo cha JKT,anaweza kujaribu bahati yake naona kuna sarakasi imepigwa bungeni.View attachment 2905835
Huu ni ujinga sasa, kuna haja gani ya vijana wanaokwenda jkt kujitolea halaf ajira zikitoka wanashindanishwa na wasioenda
Hapo usikute kuna mtoto wa kigogo kalalamika kwa daddy yake kuwa hicho kigezo kinamkwaza[emoji1787][emoji1787]