🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kimbinyiko wapi ndugu yangu nipo geto naugulia maumivu.alafu nimegaili sasa siku nikienda kuchukua barua sitapanda kimbinyiko nitakodi helicopter alafu nitashuka na kamba pale kama rambo...
duhh zamu yako inakuja hivi punde tuyaani hata kada yangu sijaiona shetani huyu 🤣 🤣
Duh, nili-overlookmmhh mie mbona sijaona electrical engineer kwenye huu mkeka..
amna noma kaka ngoja tusikilizie mkeka unaokuja nisipoona jina langu naenda kuchukua barua hivyohivyo.🤣🤣duhh zamu yako inakuja hivi punde tu
Hizi sepa na kijiji zinawakuta watu wa civil tu naonaamna noma kaka ngoja tusikilizie mkeka unaokuja nisipoona jina langu naenda kuchukua barua hivyohivyo.[emoji1787][emoji1787]
ndugu yangu we acha tu yaan tunawekwa roho juu🤣 🤣Hizi sepa na kijiji zinawakuta watu wa civil tu naona
Electrical hii ilitokea moja tu ,tena ya watu kumi na tano ,ile ya REA basi , huko kwingine ni papatu papatu ile ya mtu mmoja baada ya mikeka miwili ya Placement [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wakiona Artisan (Electrical ) au Technician Electrical wanadhani ni engineer wakati hao ni mafundi mchundo na si wahandisi /Engineers
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Hivi Tutarajie Placement nyingine au hii ya jana inatosha ?Aiseeeeeeh Kuna watu nmewaona kwenye mkeka kipindi mi nipo first year wao wapo forth year TE&CE Leo wameulamba aiseeeh tusikate tamaa hapo naongelea 2016 mtu kaja kulamba asali 2024 tusikate tamaa tupambane wakuu[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Hapa huenda mpaka mwezi ujao, kwa hii staili yao mpya....!Hivi Tutarajie Placement nyingine au hii ya jana inatosha ?
Hongera sana kakaBaada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.
Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
Nadhani mwezi wa tatu kwenye tar 15 hiviHapa huenda mpaka mwezi ujao, kwa hii staili yao mpya....!
Duuuh hatarNadhani mwezi wa tatu kwenye tar 15 hivi
Hongera sana kakaBaada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.
Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
Hongera sana Kiongozi Ukawe mtumishi mwemaBaada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.
Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
hongera sana inno ila mwanao IT personel aliamua ajilambishe asali bana.alafu hakulizika akajipangia na mshahara juu [emoji1787] [emoji1787]
Hongera sna,status inasemaje na umetokea kanzidata?Rizki anatoa MUNGU sio ile umbwa[emoji3]
Hongera sna,status inasemaje na umetokea kanzidata?
hongera kaka mkalitumikie taifa katika uhadilifu..Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.
Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.