Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongera kwa kupata shavu kwa kifupi si lazima nMB mkuu,ata kama CRDB au bank nyingine usikariri NMB
Kama muajiri wako yuko Dodoma ni vizuri ukatembea na vyeti vyako na kila kitu kilichopo kwenye tangazo ili ukichukua barua upeleke kwa muajiri wako
Maana utumishi unafuata barua tu then unaenda nayo kwa muajiri wako,ambapo yeye atakupa muongozo nni kinafuata

Muajiri yuko dar
 
Ooooh Nina barua ya kutambuliwa ya mwenyekiti nilioendanayo kwenye interview mwezi wa 12 naamini itakubaliwa(sijajua kama wanataka barua recently ya mwezi huu au vp) kingine nlikua nataka kutumia kadi ya nmb kwasababu CRDB naona wananizingua kwahyo kama kwenye kufata barua haina haja ya account number basi ngojea niifatilie taratibu ya NMB next week
Hiyo haitatumika isipokuwa watakuambia uwape vyeti tu.
 
Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.

Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.

Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.

Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.

Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
 
Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.

Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.

Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.

Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.

Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
Hongera kijana
 
Ooooh Nina barua ya kutambuliwa ya mwenyekiti nilioendanayo kwenye interview mwezi wa 12 naamini itakubaliwa(sijajua kama wanataka barua recently ya mwezi huu au vp) kingine nlikua nataka kutumia kadi ya nmb kwasababu CRDB naona wananizingua kwahyo kama kwenye kufata barua haina haja ya account number basi ngojea niifatilie taratibu ya NMB next week
nenda na vyeti
 
Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.

Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.

Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.

Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.

Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
Hongera sana mkuu, habari njema sana hizi leo humu!
 
Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.

Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.

Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.

Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.

Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
Hongera sana mkuu
 
Hongera kaka
Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.

Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.

Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.

Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.

Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
 
Ni kweli unachosema ila ni maamuzi Tu mkuu na mindset yako, kwa sababu usipoamua kupotezea na kumove on itakupa tabu sana ata kwenye kufanya maamuzi mengine ya kutafuta Ridhki kwa kuhisi Asali itaingilia kati

Mimi baada ya kufanya oral mwezi wa Kwanza na majina yakaanza kutoka mwezi wa 3, hadi wa 6 majina yanatoka tu ila langu kushney, nikaamua kumove on na Mambo mengine maana muda hauniruhusu Mimi kuendelea kuwasubiri utumishi

Nikaacha kabisa kuingia Ajira portal website hadi App, nikasahau kabisa ata kama nilifanya interview, nikaanza kutafuta kazi serious private sector na ilipofika mwezi wa 7 nikawa nimepata kazi private

na bahati mbaya au nzuri kufika mwezi wa 11 nikapigiwa simu na washkaji kunipa hongera wengine ata waga hatuongei wakinipa habari za placement imenikuta sipo kinyonge

Sasa sio mara zote utapata kazi private na Gavoo tena ikakukumbuka kwahiyo ni kheri ukajiandaa kisaikolojia kwamba ikija au isije fresh Tu ila angalau una shughuri halali inayosaidia mkono kwenda kinywani na kutatua shida zingine za kibinadamu
dahh umeongea fact kaka ngoja nijaribu.
 
Mimi innojembe kiboko ya Itpersonal nimelamba asali asanteni kwa ushirikiano.....nnamengi ya kusema ila kwa uchache nseme 1.MUNGU 2.TIME 3.PATIENT 4.CONFIDENCE 5.UJANJA KWA KUCHANGAMKA
hongera sana inno ila mwanao IT personel aliamua ajilambishe asali bana.alafu hakulizika akajipangia na mshahara juu 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom