pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Imebid ni download πView attachment 2919873 tuburudike kidogo majobless wenzangu. π€£
Soma mambo ya JanitorWakuu samahani mfano mmeitwa oral utumishi lakini kwenye tangazo la kazi walihitaji watu wa education,psychology,home economics,social work na nafasi ya kazi ni Janitor. Je kwenye oral interview watauliza sana maswali kwenye kada ipi. Naomba uzoefu kidogo hapo
hivi tutatoboa kweli mbona mie kila siku frequency zinapungua π€£ π€£Uko na bundle la kutosha jobless[emoji2]
Tutatoboa mkuuhivi tutatoboa kweli mbona mie kila siku frequency zinapungua [emoji1787] [emoji1787]
Yaani [emoji24][emoji24]hivi tutatoboa kweli mbona mie kila siku frequency zinapungua [emoji1787] [emoji1787]
π€£π€£π€£π€£ Ngoma yako nn mkuuView attachment 2919873 tuburudike kidogo majobless wenzangu. π€£
Kale kasiku ka furaha huwa kapokapo tuu, yaani unabaki hauamini kama hassle ndio imeisha hivyo, na unapokuwa umefikia hatua ya kudoubt kama kweli ipo siku utatoboa ujue hiyo siku haipo mbali, Mkuu utatoboa tuu na utasahau.hivi tutatoboa kweli mbona mie kila siku frequency zinapungua [emoji1787] [emoji1787]
Basi soon tu[emoji23]Kale kasiku ka furaha huwa kapokapo tuu, yaani unabaki hauamini kama hassle ndio imeisha hivyo, na unapokuwa umefikia hatua ya kudoubt kama kweli ipo siku utatoboa ujue hiyo siku haipo mbali, Mkuu utatoboa tuu na utasahau.
daahh na iwe hivyo kaka..Kale kasiku ka furaha huwa kapokapo tuu, yaani unabaki hauamini kama hassle ndio imeisha hivyo, na unapokuwa umefikia hatua ya kudoubt kama kweli ipo siku utatoboa ujue hiyo siku haipo mbali, Mkuu utatoboa tuu na utasahau.
Wako fasta sanaJamani TAKUKURU wanataka nauli zenu huko π
Sana yanWako fasta sana
Kuhusu JKT sio lazima sababu wapo watu wamekuashortlisted na hawajapitia JKTJamani naomba kujua hivi kwa walioitwa TAKUKURU kwenye usaili kile kigezo cha JKT bado ni lazima? Halafu pia ile fomu unayoijaza mwenyekiti inabidi agonge muhuri anapojaza pale?
Tutakwendaaa tuu,hayaa tupeni madini ya test tusomeeJamani TAKUKURU wanataka nauli zenu huko π
Walioenda aptitude ya mwaka jana waje kutupa nondoTutakwendaaa tuu,hayaa tupeni madini ya test tusomee