ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Kada zingine hakuna hata hiyo data base lakini unakutaAchana nao kumamke zao hao.
Mwaka Jana tulifanya oral 200+ nafasi zilikuwa 50 wakaja kuita watu 20 tu hawajawahi kuita tena mpaka leo kazini watu wengine.
Wanatumia database fulani hivi ya watu kama 80 yenyewe inaisha wa sita.
Sasa nadhani wanatumia mfumo wa FIFO.
ila wanaingiza sana watu database bila Sababu ya msingi
Labda hawataki kusema na Wao wamekuwa kama Tamisemi (Kauli yao Tunatoa watu Database)...ndio maana watu hawaripoti maofisini.wanakuja kumita mtu ofisini baada ya miaka 2 unategemea nini..
upuuzi mtupu hawako professional..Labda hawataki kusema na Wao wamekuwa kama Tamisemi (Kauli yao Tunatoa watu Database)...
Wanatakiwa wawe proffesional wasiwe wajinga wajinga kama hivyo.Labda hawataki kusema na Wao wamekuwa kama Tamisemi (Kauli yao Tunatoa watu Database)...
Kwa mvurugo huu wakiniita kufata barua siendileo nimekutana na kimbinyiko inaelekea dodoma kidogo nizimie..
mie mwenyewe nimeghairi siendi aisee na wenyewe wasumbuke kidogo na wakituma nasema sijaipata watume tena kama mara tano hivi. 🤣 🤣Kwa mvurugo huu wakiniita kufata barua siendi
Wanitumie kwa njia ya posta tu Wallah😂😂😂
sio poaMuliopokea mikando jana mbona hamutoi mrejesho[emoji23][emoji23][emoji23]
watu wameshachezea hela. 🤣 🤣Muliopokea mikando jana mbona hamutoi mrejesho😂😂😂
One day Yes!! [emoji120]watu wameshachezea hela. [emoji1787] [emoji1787]
Mbna hamna pdfwametoa pdf uko leteni shuhuda
Itume apa hy pdfitakua network
Unapendaga sana kustress vijana🤣🤣🤣wametoa pdf uko leteni shuhuda
nishida dakika 2 zilizopita nimetoka kuingia nikasema nitaingia tena jioni sasa hivi nimeingia si chini ya mara nne.Web ya PSRS ni ADDICTION kama ilivyo Energy drink, Gomba, sigara, Ngiba, Kete full Arosto Daily[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji3][emoji3][emoji3]Inatweza Utu wa Mtanzania asee basi tunishida dakika 2 zilizopita nimetoka kuingia nikasema nitaingia tena jioni sasa hivi nimeingia si chini ya mara nne.
😅😅😅nishida dakika 2 zilizopita nimetoka kuingia nikasema nitaingia tena jioni sasa hivi nimeingia si chini ya mara nne.