ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Kada zingine hakuna hata hiyo data base lakini unakutaAchana nao kumamke zao hao.
Mwaka Jana tulifanya oral 200+ nafasi zilikuwa 50 wakaja kuita watu 20 tu hawajawahi kuita tena mpaka leo kazini watu wengine.
Wanatumia database fulani hivi ya watu kama 80 yenyewe inaisha wa sita.
Sasa nadhani wanatumia mfumo wa FIFO.
ila wanaingiza sana watu database bila Sababu ya msingi
Nafasi zilikuwa 5
Oral walioenda 23
Mpaka leo wameitwa 3 kurepoti kazini