Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kea uzoefu wangu na wenzangu ambao wana kazi sasa hivi
Kwanza vaa vizuri, hapa namaanisha uwe smart, kuanzia juu hadi chini. Suti angalau au kama huna basi ata shirt official na surual plus viatu vya kufunika sio sandal.
Swali la kwanza always linakuwaga tell us about yourself, hapa utaongea ur introduction, ur education inshort atleast anzia level ya chuo, na professional experience. Ila wakisema ur education history and professional history, hapa tell about ur education background inshort labda kuanzia primary till where u are na professional background sehem ulipofanyia kazi na internship. Nakazia inshort, ukitaka kuelezea kingereza kitakutupa mkono. Mimi ndivyo najua hivi.
 
Maswali yanakuwa matano, la kwanza likiwa hilo la kutell about yourself, then manne ni according to your professional.
Kwenye land officer niliulizwa maswali yafuatayo
1. Mention five laws/acts dealing with land in Tanzsnzia
2. How will you solve the problem of land registration in Tanzania
3. Five factors which determines the cost of land
4. How will you solve land conflicts

Oral ya pili ilikuwa Legal Officer niliulizwa maswali yafuatayo
1. Mention 3 types of tortuous liability
2. Mention five instruments of legislative drafting in Tanzania
3. Mention five stages where you can tender exbihits
4. Five ways of discharging a contract


So mnaweza kucompare na kwenye kada yenu kuforesee which types of questions can come
 
Safi prok
 
Hongera sana bro. Hakika Mwenyezi Mungu ametenda. Nenda kapeperushe vyema benders ya wakandwaji pale Asha Rose Migiro. All the best chief
 
Katika hili nakutegemea mkuu.

Naomba uanze kutema madini muhimu niishi nayo
Kwanza kabisa swali la kwanza Tell us about your education background
2. Swali la pili duties zako zile lakini hawakuulizi direct huwa wanaanza tofauti kidogo unaweza usielewe kama wanataka duties zile Kwahiyo kuwa makini usipaniki
3.Swali la tatu ujuwe challenge za kazi yako na hapa wewe ndo inabidi uoneshe unajua sasa na jinsi yakuzisolve hizo challenge
4.kuanzia la nne sasa hayo ni technical questions zinabase kwenye zile duties Kwahiyo isome kila duties uelewe inavyofanyika na kingine soma notes za course yako
Nadhani mpaka hapa mzee ukipita humu basi jiandae tu kwenda kuchukua barua
 
Katika hili nakutegemea mkuu.

Naomba uanze kutema madini muhimu niishi nayo
Kwanza kabisa swali la kwanza Tell us about your education background
2. Swali la pili duties zako zile lakini hawakuulizi direct huwa wanaanza tofauti kidogo unaweza usielewe kama wanataka duties zile Kwahiyo kuwa makini usipaniki
3.Swali la tatu ujuwe challenge za kazi yako na hapa wewe ndo inabidi uoneshe unajua sasa na jinsi yakuzisolve hizo challenge
4.kuanzia la nne sasa hayo ni technical questions zinabase kwenye zile duties Kwahiyo isome kila duties uelewe inavyofanyika na kingine soma notes za course yako
Nadhani mpaka hapa mzee ukipita humu basi jiandae tu kwenda kuchukua barua
 
Dah sikua na MB Toka Jana jioni ila now ndo naingia online nimesoma comment zote mpka hapa kwako mwanzo nilisikitika sana baada ya pork kusema kwake selected for oral then wewe ukasema wamekukanda dah aiseee ila now naona hii comment ukweli kutoka moyoni mkuu furaha niliyopata hapa haipishani na siku nimeiona jina LANGU kwenye pdf ya kuchukua barua dah hongera mkuu
 
gud naamini watapitia humu watajua pakuanzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…