Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ivi watu wa Tehama waliyo fanya usahili mwezi wa kumi na moja oral wameisha database kuachilia ili idadi iliyo takiwa sawa walisha pangiwa sasa hivi ni kweli hakuna walio faulu na kubaki database!, maana mwajiri ni huyuhuyu mmoja MDAs & LGAs, naona tena walitoa tangazo la kazi na wamewaita watu usahili wa kada hizohizo?, au hawakufaulu?
 
Naona utumishi wanayafanyia kazi makosa yao na mapendekezo ya mkutano wa dodoma na wa dar kuhusu kukusanya maoni na malalamiko ya wadau, wameanza na hili la kubadilisha anuani baada ya tanganzo la usahili kutoka kuwepo mufa wa kubadilisha maana watu huwa wana move sehemu na sehemu hawezi kaa sehemu moja,
 
Jamani mtakao enda usahili jueni kuwa hii aptitude ya utumishi ni tofauti na aptitude zingine kama mnazo ziona mtandaoni na za takukuru!, eti ni maswali ya numerical, gramer, tens, reasonable, virtual, na n.k no, Haya ya utumishi ni ya kozi/fani au professional yako ndugu yatakuwa yako kwa mfumo wa kujaza nafasi, multiple choice
 
Nashukuru sana kwa ujumbe huu na mm ndo nilikua najiuliza Sasa apa ..hii aptitude test imekaaje maana Ile ya takukuru ilikua very technical mzee 😂😂 yani ukienda kichwakichwa unakandwa ..Bora watoe kwenye kada husika na pia kulingana na Majukumu ya kazi itakua poa Sana ..
 
Walisema juzi Kati hapa usaili kwa njia hii ya Aptitude test utaanza kwa maofisa Tehama.
Hii itasaidia kuwapata maofisa hao watakaofanya kazi kwenye vituo vitakavyoainishwa kwenye saili zitakazoendelea.
 
Hivi na mimi niendelee kuwa na matumaini? Au ndo ilishakua baba jeni BYE BYEEEEE,maana kwenye app status inasema Selected for oral lakini web inasema Shortlisted
Wabobezi wa mambo ya status wa jamii forum walisema
1. Ikitoka Selected for oral na kwenda Shortlisted - utaitwa kazini muda si mrefu
2. Ikitoka Selected for oral na kwenda not selected for oral- Baba Jane bye bye😅😅
NB: hakuna ushuhuda wa aliyepata placement ikiwa status yake ikitoka selected for oral na kwenda not selected for oral.
 
Mbona Kuna watu wameitwa kazin na status zao zmebak vle vle toka walivyotoa kweny oral ni selected for oral
 
mimi naamini kwenye status kuna ukwelo asilimia kubwa
Kabisa ukweli ni asilimia karibia 100. Kuna mwamba alikuja na stori za kuwapigia simu psrs eti wakaniambia hakuna uhusiano. Nafikiri mpaka muda huu hajawahi lizungumzia tena suala la status.
 
IT(PSRS)Onyesha Upendo wako kwa Vijana achia Pdf nzito Taasisi tofauti tofauti ..
Pesa tukose hata Furaha nayo tukose kuelekea Pasaka...
Inaumiza sanaaaa...
Ni hayo tu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…