Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Duuuh leo mpaka FaizaFoxy katia neno kweli huu huzi kiboko😁 miongoni mwa regend kabisa wa JFUkiona idara ya serikali yoyote ina ukiritimba usio wa kawaida elewa kuwa kuna ubadhirifu hapo.
Mwenyewe nmeshangaa kumuona huku, nimezoea tokea zaman kumuona kule jukwaa la siasa, kaja kutuunga kupiga kelele hii kero ua utumishiDuuuh leo mpaka FaizaFoxy katia neno kweli huu huzi kiboko😁 miongoni mwa regend kabisa wa JF
Huu Uzi kabla sijaanza mambo haya ya PSRS nilikuwaga naupita tu haukuwahi nivutia ila sasa naona umuhimu wakeDuuuh leo mpaka FaizaFoxy katia neno kweli huu huzi kiboko😁 miongoni mwa regend kabisa wa JF
Mkuu tumepumzika Tu Hapa Giza limeingia papambazuke tuendele kuingia kwenye huu Uzi na website ya secretariati ya Ajira, ulale kweli🤣🤣Jobless mmelala eeh
Naona kama vile jobless wameanza kutusikia mama Yuko kazini. Mpaka waseme kitaa pachungu sanaTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanyau teuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi kama ifuatavyo:
i) Amemteua Mhe. Deogratius John Ndejembi (Mb.) kuwa Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu).
Kabla ya uteuzi huu Mhe. Ndejembi alikuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Mhe.Ndejembi anachukua nafasi ya Mhe. Prof. Joyce Lazaro Ndalichako ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
🤣🤣 Boss naendelea kujaa kifua sasa nikiona bado hamna mabadiliko ila kwa jinsi nilivyojibu kipindi kile nadhani itabadilika tu😅Wabobezi wa mambo ya status wa jamii forum walisema
1. Ikitoka Selected for oral na kwenda Shortlisted - utaitwa kazini muda si mrefu
2. Ikitoka Selected for oral na kwenda not selected for oral- Baba Jane bye bye😅😅
NB: hakuna ushuhuda wa aliyepata placement ikiwa status yake ikitoka selected for oral na kwenda not selected for oral.
afadhaliTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanyau teuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi kama ifuatavyo:
i) Amemteua Mhe. Deogratius John Ndejembi (Mb.) kuwa Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu).
Kabla ya uteuzi huu Mhe. Ndejembi alikuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Mhe.Ndejembi anachukua nafasi ya Mhe. Prof. Joyce Lazaro Ndalichako ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
ni swala la muda tu ikifika siku utashangaa hii interview si nilishafanyaga mbona nimekuwa not selected for oral tena au niliianya interview sio yangu. kumbe tayaaaar..🤣🤣 Boss naendelea kujaa kifua sasa nikiona bado hamna mabadiliko ila kwa jinsi nilivyojibu kipindi kile nadhani itabadilika tu😅
Duh hatari sanani swala la muda tu ikifika siku utashangaa hii interview si nilishafanyaga mbona nimekuwa not selected for oral tena au niliianya interview sio yangu. kumbe tayaaaar..
msifuatilie sana status jamani mtakufa kabla ya siku zenu🤣🤣Duh hatari sana
🤣🤣 Unaweza ukapata presha bado mdogo atimsifuatilie sana status jamani mtakufa kabla ya siku zenu🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Jobless tunateseka Sana mkuu nakuja shtuka Leo pasaka baada ya kutumiwa message na kampuni za mawasiliano kwamba wanawatakiwa wewe na familia yako pasaka njema. 🤣🤣Ukiwa jobless huwezi wazia hata sikukuu yoyote, jana nilikua natembea tembea town, mala naona karakana ni nyingi, halfu watu wengiii mpaka nikashangaa kwamba lilikuwepo tukio gani?😅kumbe watu walikua kwenye maandalizi ya leo bwana, Kilichonisaidia kujua leo ni pasaka ni baada kuona baadhi ya klabu za mpira zikiwatakia pasaka njema mashabiki zao, 🤣 Ila yote kwa yote majobless wenzangu haya yote yataisha tu na sisi tutakuja shekherekea hizi siku na siku zote huwa nasema Mwenyezi Mungu ni wa woteee🤗 NAWATAKIA PASAKA NJEMA NDUGU ZANGU🎉
😂😂😂😂baba jeni bye bye yowee foeverebadeee😂ni swala la muda tu ikifika siku utashangaa hii interview si nilishafanyaga mbona nimekuwa not selected for oral tena au niliianya interview sio yangu. kumbe tayaaaar..
washenzi sana hawa jamaa yani siku umeamka zako una bando la kutosha kila ukiangalia placement huoni kitu basi unajisemea ngoja nichungulie status unakuta kitu kilishabadilika siku nyiiingi.🤣 🤣😂😂😂😂baba jeni bye bye yowee foeverebadeee😂
Subira yavuta kheri mwambawashenzi sana hawa jamaa yani siku umeamka zako una bando la kutosha kila ukiangalia placement huoni kitu basi unajisemea ngoja nichungulie status unakuta kitu kilishabadilika siku nyiiingi.🤣 🤣
🤣🤣Halaf wao hawayaoni haya sijui au labda hawajawahi pitia maisha haya🤣🤣🤣🤣 Jobless tunateseka Sana mkuu nakuja shtuka Leo pasaka baada ya kutumiwa message na kampuni za mawasiliano kwamba wanawatakiwa wewe na familia yako pasaka njema. 🤣🤣