Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongereni mliolamba asali...mkawe watumishi wema ...
bado bilabila
 
Wakuu mm nlikandwa mwezi wa pili mwaka huu, leo naona rangi ya status yangu imebadilika na kuwa kama zambarau hv. H n kitu gn au n mfumo umecheza.?
 
Back
Top Bottom