Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naona wizy anatoa hints nzuri za oral mie naongezea hapo kwenye challenge kama hutakutana na challenge jiandae na swali hili hapa

Qn

What are the consequences can occur when/if the work equipment seem to fail to function normal (5 point)
Yes huwa ni swali la mtindo huu yani cha muhimu asipanick tu apitie challenge na jinsi yakuzisolve kwamfano hapo challenge ilikuwa kifaa kimefail so ni jinsi gani atasolve hilo tatzo la kifaa kufail ili afanikishe kazi yake sasa ubaya wa afya hainaga kutunga hata challenge zake huwezi kutunga yani
 
Kwa jinsi ulivyofika Dodoma na mazingira yalivyokuwa na kukesha unasoma stand trust hii nafasi unaenda kuichukua cha muhimu ni kumtanguliza Mungu mbele na kujiandaa kwa kupitia Ile Ile Act pamoja na kureview jobs descriptions kapambanie kombe ratio ya 1:3 inakuruhusu kuibuka kidedea.


N.B; nimechojifunza kuandika vingi na kuomba extra sheets sometimes sio tiketi ya kufaulu, PSRS wanataka short and clear na wengi waliojibu short and clear this times wamepita oral. All the best.
 
Hahahaaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We ni genius mkuu
Hapana mkuu, nimeimprove tu.

Nilianza kwa mwendo wa kono kono tangu tarehe 6 septemba.

Hii inanikumbusha kipindi nipo Advance nilikuwa napiga pepa(almaarufu series) za Physics kwa Mtiga pale Mapambano(Mwenge).

Siku ya kwanza nikaenda nikachezewa chache ila nilikuwa top 10(alikuwa na utaratibu wa kubandika matokeo ya top 10 ili kutuhamasisha).

Sikukataa tamaa badala yake nilikaa chini nikajiangalia palipo na mashimo, nikaanza kufuki.

Siku zikaenda hivyo hivyo napiga series, hatimaye siku moja nilikanda hatari. nikawa wa kwanza. Siku hiyo shuleni nilijizolea umaarufu hadi darasa la PCM wakanijua[emoji3][emoji3][emoji3]

Good memory!!
 
😂😂😂😂😂😂Asaivi mpaka utumishi wametuzoea
 
Hongera sana, Muumba kakufungulia njia.

Tukutane j3 Asha Rose Migiro
 
Ahsante sana mkuu kwa muongozo

Mkono kwa mkono hadi kwenye mrija wa Asali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kwenye written walileta swali moja lilitaka tuandike check list ya Auditing ikiwa na kipengele cha swali na maelezo yake. Nilitembea nalo kiulalo ulalo maana huo mfano wa Check list niliusoma kwenye guideline fulani niliwahi kutuma cover yake hapa.

Huko nitapita tena kujikumbusha technics
 
Pole mkuu, na hongera kwa kupata uzoefu na kuimarika.

Mimi nimekandwa written 3 mfululizo ila graph ikawa inapanda.

Ya 4 ndio hii ya NAOT nimeitwa Oral.

Hizo zilizobaki utaitwa oral mkuu.
 
Pita nazo mzee isome na auditing vizuri usisahau mzee kama walitoa checklist basi soma na tabulation kwenye auditing utafanya audit kwa checklist au tabulation kwahiyo zisome zote
 
Muandishi mzuri, interesting!!hongera Sana broo
 
Usijali Kaka,uzuri humu tunapat experience ya kutosha sana,tunaona Wenzetu jinsi wameanguka mara nyingi na hatimaye wanasimama na kutembea Tena..naamini umepata uzoefu wa kutosha hizi.zinafotana Moja wapi lazima utatokea kwenye placement..marufuku kukata tamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…