Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Psrs wameandaa press conference kesho tar 15,tutawasikia wanavyojinadi
 

Attachments

  • FB_IMG_1713112158462.jpg
    FB_IMG_1713112158462.jpg
    117.3 KB · Views: 7
Psrs wameandaa press conference kesho tar 15,tutawasikia wanavyojinadi
Wapumbavu hawa ,huo muda wa kufanya press conference za kijinga kama hizi huwa wanaupata wapi ,badala ya kuwekeza akili ,juhudi na resources katika kuongeza ufanisi kwenye mifumo yao na kuondoa madhaifu ?
Taasisi nyingi za serikali ya Tz ni takataka sana , no wonder , always wakifanyiwa auditing ni failure +++ ina kuwa revealed .
Majitu yanashindwa kufanya kazi kila siku press conference za kipuuzi kucover weakness
 
Back
Top Bottom