Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Psrs wameandaa press conference kesho tar 15,tutawasikia wanavyojinadi
Wapumbavu hawa ,huo muda wa kufanya press conference za kijinga kama hizi huwa wanaupata wapi ,badala ya kuwekeza akili ,juhudi na resources katika kuongeza ufanisi kwenye mifumo yao na kuondoa madhaifu ?
Taasisi nyingi za serikali ya Tz ni takataka sana , no wonder , always wakifanyiwa auditing ni failure +++ ina kuwa revealed .
Majitu yanashindwa kufanya kazi kila siku press conference za kipuuzi kucover weakness
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…