Huezi ulizwa swali kama hili. 100% maswali yatabase kwenye knowledge ya kazi husika.. kama ni audit ni ausit Mwamwi.. kama ni HEslb ni heslb mwamwi..Naona wizy anatoa hints nzuri za oral mie naongezea hapo kwenye challenge kama hutakutana na challenge jiandae na swali hili hapa
Qn
What are the consequences can occur when/if the work equipment seem to fail to function normal (5 point)
Hilo swali katoa mfano kwenye kada yake.Huezi ulizwa swali kama hili. 100% maswali yatabase kwenye knowledge ya kazi husika.. kama ni audit ni ausit Mwamwi.. kama ni HEslb ni heslb mwamwi..
Una uhakika mkuu hili swali nishaulizwa oral mbiliHuezi ulizwa swali kama hili. 100% maswali yatabase kwenye knowledge ya kazi husika.. kama ni audit ni ausit Mwamwi.. kama ni HEslb ni heslb mwamwi..
Mwifwa lizingatie hilo swali mzee hilo swali la challenge lipo utalikuta lakini uulizaji wake ndo huwa wanabadilisha tu ndo maana nikakwambia soma challenge na jinsi yakusolve ,kwamfano interview Fulani ya radiation waliuliza utafanya nini endapo itatokea radiation leakage kwenye kifaa (ambayo hii ni moja ya challenge ) kwahiyo hapo walitaka jinsi utasolve hiyo challenge,na interview ya juzi kati wakauliza utaje challenge utakazo kutana nazo wakati unafanya therapy ambayo jibu ndo hizo radiation leakages na mengineHilo swali katoa mfano kwenye kada yake.
Sasa kila mtu kulingana na kada yake inabidi ifafanishe swali kama hilo
Huyu itakuwa hajawahi kufanya oral ,hili swali ni common sasa ndo maana nilimsisitiza mwifa apite nalo maana wanatoaga kimitego mitego sasa kama hujawahi kulipitia huchomoki wanakudakaUna uhakika mkuu hili swali nishaulizwa oral mbili
Kweli apitie tu hata lisipotoka freshHuyu itakuwa hajawahi kufanya oral ,hili swali ni common sasa ndo maana nilimsisitiza mwifa apite nalo maana wanatoaga kimitego mitego sasa kama hujawahi kulipitia huchomoki wanakudaka
Ndio ili badae asije kujilaumuKweli apitie tu hata lisipotoka fresh
Hahaha afu mkuu unasubli placement za wap na wapNdio ili badae asije kujilaumu
Nasubiri mzigo mmoja tu wa orci huo uhakika naenda kuchukua barua nishaandaa na sutiπππππHahaha afu mkuu unasubli placement za wap na wap
Hahahaha π€£π€£ inataka wangapi mkuu na oral mlienda wangapiNasubiri mzigo mmoja tu wa orci huo uhakika naenda kuchukua barua nishaandaa na sutiπππππ
πππππWanataka mmoja sijui kwa watanoHahahaha π€£π€£ inataka wangapi mkuu na oral mlienda wangapi
Andaa tu suti mkuuuπππππWanataka mmoja sijui kwa watano
Unajiamin akat ushaandikiwa shortlisted mkuu π€£ π€£ π€£πππππWanataka mmoja sijui kwa watano
Hahahaha noma Sana mkando uliokutana naoππππunajua experience kwenye hizi interview inasaidia sana mimi oral yangu ya kwanza kuingia nilikuwaga sijui wanaulizaje sasa sinikaenda nimejiandaa zile sijui what is your weakness na ile why we should hire you and not others
aseeh nilipigwa maswali mpaka nikajiuliza sasa mbona maswali niliyodhani watauliza hawajauliza hata moja
πππππNipo naipiga pasi kila siku mzee hii uhakika au nikaripoti tu kazini barua itanikuta huko huko hahhhhAndaa tu suti mkuuu
Nenda tu kazini waambie nimekuja barua itanikuta hapaπππππNipo naipiga pasi kila siku mzee hii uhakika au nikaripoti tu kazini barua itanikuta huko huko hahhhh
ππππUnajua hapo lazima upaniki Yani mpka zile duty nilikuwa nishazisahau kudadeki baada ya hapo nikajifunza nikaingia humu kufatilia ndo nikaanza kuelewa chakufanyaHahahaha noma Sana mkando uliokutana nao
πππππhahhhhNenda tu kazini waambie nimekuja barua itanikuta hapa