Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji23][emoji23]daah tusipotoboa miaka miwili hii sjui mwaka gani tena,daah kuna watu wananiuzig hasa niliosom nao walio kwnye system et bdo tu hujapata
Tujitafute tu Kwa namna nyingine maana serikalini [emoji119][emoji119].

Kuna kada zingine unakuta Kwa mwaka zinatoka nafasi hata tatu tu. Hivyo, Kwa miaka miwili nafasi sita.
 
Nashuru Mungu leo pdf hili nimetoboa, nimeomba kazi mara 6 nimeitwa usaili kazi 5 nimefanikiwa kuingia oral 4 leo hii nimetoboa kutokea data base (sijui ni data base ya interview gani) namshukuru Mungu lets keep it, MUNGU ni mwema hakika, nami sitaacha kushuhudia mambo makuu ya MUNGU,

Tufanye saili tumuombe Mungu.

Amina.
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
 
Hongereni wakuu mliolamba asali.
Mungu awatangulie kwenye majukumu yenu mapya.
Tuambieni Status zenu kwenye web na App zinasomaje adi leo.
 
Back
Top Bottom