Hongera sana Kiongozi......Kuna pdf uko wanangu wa nguvu. Mungu mwema nmetoboaaaaaa
2023 kuna mkeka Mh.Jenista Mhagama alikuwa anataka kusafisha Database yote ya 2022....mambo yaka badilika naona nw wanatimiza .....Kanzi data inakaa mwaka mmoja, hao wa 2022 maana yake tokea mwaka huo tangazo la kuitwa kazini halikutoka kwa upande wao.......hata mimi kuna placement naisubiri toka 2022 haijatoka!
π€£ π€£π€£ bado mambo hayaeleweki.naona uliamua kwenda likizo kidogo..El marabiosh Engineer mwenzangu tunasugua gaga bado
Nipo Engineer hahahah yani nasomaga tu comments za wadau nguvu za kutype zinaniishiaga kabisaπ€£ π€£π€£ bado mambo hayaeleweki.naona uliamua kwenda likizo
na kweli kwa staili hii lazima nguvu ziishe mie mwenyewe nakomaa kishingo upande coz hamna jinsi.Nipo Engineer hahahah yani nasomaga tu comments za wadau nguvu za kutype zinaniishiaga kabisa
MSENGEXXX SANA WEWE.wazee kuna pdf uko
we mwache matako yake π π πJamn yamekuw hayo tena
Pdf iko wapi sasa wwwe mwache matako yake [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Usikate tamaa usichoke kuenda tena Dodoma, me nimefanya oral 6 moja tu ndo nimeingia kwenye oralinauma wadau kukaa benchi mda mrefu..nimeenda saili 2 utumishi zote wamenikanda.
mark nayoipata ni 42 kwenye saili zote dah mpaka naona gundu sasa..ila nataka kujaribu tena nna receive 2
umepata kaZi?Usikate tamaa usichoke kuenda tena Dodoma, me nimefanya oral 6 moja tu ndo nimeingia kwenye oral
Sjapata lakn sikati tamaaumepata kaZi?
sawa,ila muhimu watu watoe tipsSjapata lakn sikati tamaa