Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

ipo siku tu watajichanganya
 
Wakuu, ikitokea umetaitika sana kwenye written au oral, pointi zetu kuu ni zilezile;
  • Unemployment,
  • Low wages,
  • Poor government support,
  • Misuse of resources,
  • Ignorance among the people.
Cha muhimu ni kujua namna ya kuzigeuzageuza tu kulingana na swali husika.

Kamwe usiache swali ikiwa una pointi hizi.
 
Kuwa serious sio jukwaa la utani
 
Pole mkuu,Ni swala la muda wako kufika endelea kukomaa consistence iendelee one day kitaeleweka tu trust in process.
 
Waliosoma kanuni za Utumishi naomba kuelekezwa hapo kifungu cha 6 kuwa utumishi huwasiliana na msailiwa moja kwa moja. Je wanatumia njia gani na wakiwasiliana na wanakuwa na ajenda gani wakiwasiliana na msailiwa. Kwa wenye uzoefu tunaomba kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…