Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

1: unaingia na username na password unayoitumia kwenye account yako ya ajira portal
2: unadakika nne(4) za kusoma instructions
3: baada ya hapo kuna popup message ya kuverify na kuanza mtihan
4: kama haijatokea haina maana kuwa muda wako umesimama, muite msimamizi mapema utatue changamoto hiyo, ukichelewa unaweza kujikuta dakika 20 zimekata
MASHARTI YA MUHIMU
5: Maswali ni 50 dakika ni 60 yaani saa moja, unaruhusiwa ku- submit baada ya nusu saa (30 min)
6: HAIRUHUSIWI KUFUNGUA PAGE NYINGINE, ukiingia system inafungua Full screen, usijaribu kutoka au kufungua new page
7: Unaruhusiwa kuanza na swali lolote kati ya 50
Nimeongelea upande wa ICT , wengine sijui
Maswali ni multiple choice??
 
Wiki ya pili inaenda bila mkeka.. Sijui kuna nini kimezuia mkeka mpya. Ila tuendelee kuweka Matumaini juu. IT wembe ni ule ule zile kada za Madereva, Officce Assistant, Afisa Kilimo, Maendeleo ya Jamii tunaomba unapumzishe. Kuna kada hawajaguswa huu mwaka wa 8 na Oral wanafika.
Kila mmoja aseme Aameen
Kada gani mkuu mwaka wa 8 hawajagusa.
 
1: unaingia na username na password unayoitumia kwenye account yako ya ajira portal
2: unadakika nne(4) za kusoma instructions
3: baada ya hapo kuna popup message ya kuverify na kuanza mtihan
4: kama haijatokea haina maana kuwa muda wako umesimama, muite msimamizi mapema utatue changamoto hiyo, ukichelewa unaweza kujikuta dakika 20 zimekata
MASHARTI YA MUHIMU
5: Maswali ni 50 dakika ni 60 yaani saa moja, unaruhusiwa ku- submit baada ya nusu saa (30 min)
6: HAIRUHUSIWI KUFUNGUA PAGE NYINGINE, ukiingia system inafungua Full screen, usijaribu kutoka au kufungua new page
7: Unaruhusiwa kuanza na swali lolote kati ya 50
Nimeongelea upande wa ICT , wengine sijui
Shukurani mkuu
 
Wanajamvi,

Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
Ujawazaaa muda wa kutangaza hizo kazii ...kwanza achatu
 
867055AA-7CA0-45EB-BB40-E2850094083D.jpeg
 
Back
Top Bottom