Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Maswali ni multiple choice??
 
Kada gani mkuu mwaka wa 8 hawajagusa.
 
Shukurani mkuu
 
Wanajamvi,

Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
Ujawazaaa muda wa kutangaza hizo kazii ...kwanza achatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…