ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Asante kwa taarifa isiyo shughulikiwa tokea January 2024 hadi leo.
mara paahh pdf limetoka jina lako halipo.ebu imagine utamu wake.. 🤣 🤣
Ndiyo mkuu apa najipanga upyaivi mkuu sam mirror 1 tulisha conclude ukikuta not selected for oral kwenye app ndo umefeli oral sindio mkuu au?
Imebadilika tena auNdiyo mkuu apa najipanga upya
Oi! Hawa wazururaji wapo kituo gani leo? Maana una ratiba zao😂😂😂mara paahh pdf limetoka jina lako halipo.ebu imagine utamu wake.. 🤣 🤣
Wewe ukilamba asali ujue mtego ukakamatwe Rose Migiro!jaman kuna pdf leo na mimi nimelamba asali big up utumishi
Umeanza kujilambisha asali wenyewe kweli kazi ipo🤣🤣..jaman kuna pdf leo na mimi nimelamba asali big up utumishi
Samahan naomba kujua wewe ni nani mpaka unahakikishia jobless kwamba aamin PDF soon linaachiwa???Amini kuna pdf zito sooon linawafikiwa wapambanaji,
Naona ukimya mkubwa ila soon kinaeleweka wakuu.
hawajasema bado labda wasafi fm🤣 🤣Oi! Hawa wazururaji wapo kituo gani leo? Maana una ratiba zao😂😂😂
braza ake utumishiwakofair itakua ndio ana malizia malizia mshahara maana ile minyama aliyojipakulia si mchezoUmeanza kujilambisha asali wenyewe kweli kazi ipo🤣🤣..
Nikajua pdf kumbe Hawa walevi wa gongo!!!ehh kishawaka 🔥 🔥
Mbona options ipo...Hivi JF huwa hamna option ya ku'hide au Ku'block comment/ thread ya mtu yeyote yule ambaye hautaki kuona post zake ?
Maana kwenye huu uzi kuna ID natamani kuzifanyia hivo lakini nashindwa.