Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jamani lkn placement zitakuwa zimesimamishwa sio bure mbn zamani walikuwa wanatoa ata Kwa interval ya siku 10 mpk 10 sahv jamani watakuwa wamesimamisha sio bure. Maana ata ndg zetu walimu na watu wa afya holaaah
Mbona polisi wametoa
 
Jobless wenzangu habar,napenda kuuliza hv ukiingia oral kuna asilimia kubwa ya ww kupata placement au kubaki kwenye data base baadae ukapangiwa kazi
 
Jobless wenzangu habar,napenda kuuliza hv ukiingia oral kuna asilimia kubwa ya ww kupata placement au kubaki kwenye data base baadae ukapangiwa kazi
Ndio hasa zile kada zenye... written- practical-oral
 
Jamani lkn placement zitakuwa zimesimamishwa sio bure mbn zamani walikuwa wanatoa ata Kwa interval ya siku 10 mpk 10 sahv jamani watakuwa wamesimamisha sio bure. Maana ata ndg zetu walimu na watu wa afya holaaah
Daaah sio bure,apa hatuna budi kua wapoleee aiseeπŸ’”
 
Yaani ile paap nimelamba asali utumishi, ile miezi ya mwanzoni mwanzoni naupa mwili pole . Mtu akija na vishauri vyake sijui nunua kiwanja sijua bana matumizi nampa tusi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Tutakuja kuuwana[emoji846] BADALA ANUNUE KIWANJA YE ANAKESHA BAR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…