Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Niko na mission nasikilizia🤣🤣..PSRS Msichane mkeka wangu,mwaka huu nawategemea sana 😢 🙏
 
Aiseee kitaa kigumu sana...Alafu wanamtaa wanatupostia clip za Dotto magari🤣🤣...wengine mkiwa mnapig stor unasikia wenye degree zao Tuko nao mtaani uku wanakuangalia usoni💔
Yaanii Mimi ndiye wakutolewa mfano kwelii mtaanii,,,,,Nimekuwa funzo Kwa wenginee😭😭
 
Wale mliofanya usaili Mzumbe wameanza kupiga cm mkaripoti kazini. Hakikisha cm yako inapatikana ndugu zanguni.
 
Back
Top Bottom