Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Utumishi please , kama kuna Electrical Engineer aliwatukana kwenye interview basi msameeni , maana mnachofanya ni kukomoa , watu wanafanya interviews ,ninyi Kenge hamtoi Placement ,mwaka huu unaisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fisi maji ninyi @psrs
 
Utumishi please , kama kuna Electrical Engineer aliwatukana kwenye interview basi msameeni , maana mnachofanya ni kukomoa , watu wanafanya interviews ,ninyi Kenge hamtoi Placement ,mwaka huu unaisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fisi maji ninyi
unaendelea kuwatukana sasa
 
Electrical engineers mpaka msemeee [emoji28][emoji28][emoji28]
Ni mwendo wa madereva ,wapishi ,accountants , record management , wachumi , kilimo ,librarians .
Haya majamaa tuliyatukana kwenye zile interviews au ?
Kifupi hizo kada ulizozitaja ni kada pendwa utumishini nyie ma engineers mtaendaje site bila madereva na bila kula kuweni wavumilivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…