Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hv wenzangu na mimi tuliosoma course ambayo utaajiriwa Kwenye shirika moja tuu Tanzania nzima tuna hali gani yani kila muda kusubiri ajira kutoka shirika moja tuu na lenyewe kutoa nafasi ni baada ya miaka mitano kama uchaguzi vile.?
 
Hv wenzangu na mimi tuliosoma course ambayo utaajiriwa Kwenye shirika moja tuu Tanzania nzima tuna hali gani yani kila muda kusubiri ajira kutoka shirika moja tuu na lenyewe kutoa nafasi ni baada ya miaka mitano kama uchaguzi vile.?
Mkuu ipi hiyo...misitu na nyuki au
 
Kwani hizo nchi ulizotaja hapo hazina changamoto ya ajira? Pia nimesema population na uchumi
Mataifa yapo mengi tu ambayo ajira ni nyingi hadi wanatumia madalali yani kampuni zina ma HR wengi sana kwajiri ya kusaka watu, na watu wanaitwa hadi wanakataa wenyewe, nchi inapaswa kutengeneza mfumo iliyo bora kuanzia chini na sio kuangalia juu tu wapo wengi huku chini wanao kwamisha malengo ya uongozi wa juu kwajili ya tamaa na ufinyu wa viongozi, pia inapaswa kuweka ushirikiano na mashirika binafsi ili soko la ajira litanuke ndo ilivyo katika nchi zilizo endelea, ivi unajua kila mtumishi wa uma ni kiongozi?, sasa nambie sifa ya kiongozi ni ipi, pili nambie tofauti ya kiongozi na mtawala?
 
Hv wenzangu na mimi tuliosoma course ambayo utaajiriwa Kwenye shirika moja tuu Tanzania nzima tuna hali gani yani kila muda kusubiri ajira kutoka shirika moja tuu na lenyewe kutoa nafasi ni baada ya miaka mitano kama uchaguzi vile.?
Program gani hiyo
Inayohitajika kwenye shirika moja tu.
 
Hakuna taifa lolote nje ya Africa linalotafuta waajiriwa (professional) kutoka africa. Hizo kaz unazosema wewe nying sio kazi za taaluma ni vibarua na kazi za usaidizi. Jambo ambalo hata hapa ndani ya nchi yetu linafanyika sana. Kuna kund kubwa la vijana wanatoka mikoani kuja Dar kutafuta maisha na wakifika wanafanya vibarua na kazi za usaidizi na wanaendesha maisha kwa level yao, hapo utasema Dar hakuna changamoto ya ajira???Hivyo ndivyo ilivyo hata kwa hao unaosema wanaenda nchi za watu kufanya kazi haimaanishi hizo nchi hazina tatazo la ajira.
 
Tuwashauri watoto na wadogo zetu kabla hawajachagua course ya kusoma chuo wajiulize maswali haya
1. Kwake probability ya kupata ajira na kukosa ipi kubwa baada ya kumaliza (kuna wale baba kanituma na wale wenye kampuni zao) Kama probability ya kukosa ni kubwa zaidi (Yaani hana mizizi na connection)
2. Ajiulize nikimaliza na nikikosa ajira hii course itanisaidia vipi katika shughuri zangu za kila siku ili kuniingizia kipato. Akifanya maamuzi sahihi ataepukana na hayo tunayopitia sisi wazee wake.
 
Je kwa upande wako unaisemaje serikali, jukumu la kiongozi ni nini au ni yapi katika taifa la wanch viumbe wa Mungu, ukisema suala la ajira liko mikononi mwa mtu sawa ila vipi kuhusu mungawanyo wa ajira katika taifa uko mikononi wako au mwa mtu, ukisema hivyo ni sawa useme kila mwenye nguvu atumie resource za nchi bila utaratibu,
 
Kila course una uwezo wa kujiajiri ukiamua shida au changamoto ni kick start(starting capital before implementation) na taifa limejaa watoto wa wakalala hoi je unafikili afanyaje sasa mwisho wa siku anaishia katika vibarua , kwa kusema nasikilizia mchongo wa ajira au anasema natafuta capital nifanye mishe zangu ama biashara ila siku zinaenda na anao ananza familia akisha fikisha watoto wawili ndo anaona kipato hakitoshi majukumu yamekuwa anaishia kundunduliza mwisho wa siku anakufa mapema
 
Mnasubiri ajira (placement) huku utumishi na mmechoma nauli zenu na usumbufu mwingi, huku upande wa pili watu wanaajiriwa ukiuliza wanasema walikiwa vijana wanajitolea katika tasisi yetu tumeamua kuwaajiri πŸ˜‚, sasa hao intern wamepelekwa na TaESA na wengine wameenda mwenyewe tunawaita independent volunteers Sasa swali chombo pekee cha kusimamia mchakato wa ajira tena zile za kudumu ni kipi kama sio psrs, Hii ndo Tz yetu
 
Una uhakika au unaongea kwa hisia tu.

Taasisi zipi zinawapa watu check number TAESA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…