Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongera saana mkuu,ukawe mtumishi mwema,tulifanya wote hiyo Oral ya carpentry ndiyo nilibahatika Mimi kupata,vpy utakuwa umetoka kwenye database ya carpentry au MDA and LGA
Yaani hata sielewi kabisa, itakuwa labda database ya MDA na LGA
 
Hawa recruitment secretariat wamevuta bangi sio ? Okay iko hivi for days nlikuwa najaribu ku apply hizi kazi za TCRA lakin ikawa inagoma ilihali qualify, nikajaribu kuwapigia sikuwapata, wote tunajua ni ngumu kuwapata hawa jamaa kwenye simu. Sasa leo mida ya saa saba usiku(01:00hrs am), nikajaribu for the last time nikaona imekuubali kuleta sehemu ya ku upload barua, which means walifix hilo tatizo. Nikawa nimepanga leo before saa nne niwe tayari nimeset barua nizi upload, nimeset barua nakuja kuchek kazi hazipo, Why ?, wakati deadline ilikuwa tarehe 20 mwezi wa 6 mwaka 2024 ? kuna tofauti gan ya saa saba usiku (1:00) leo na saa 10:00 leo ? mbona tarehe haijapinduka ? Nani anafanya hivi ?
Nimeattach sceenshot ya hiyo kitu.
Mbonaa nafasi zipo mkuu Wala hawajaziondoa,
 
Hawa recruitment secretariat wamevuta bangi sio ? Okay iko hivi for days nlikuwa najaribu ku apply hizi kazi za TCRA lakin ikawa inagoma ilihali qualify, nikajaribu kuwapigia sikuwapata, wote tunajua ni ngumu kuwapata hawa jamaa kwenye simu. Sasa leo mida ya saa saba usiku(01:00hrs am), nikajaribu for the last time nikaona imekuubali kuleta sehemu ya ku upload barua, which means walifix hilo tatizo. Nikawa nimepanga leo before saa nne niwe tayari nimeset barua nizi upload, nimeset barua nakuja kuchek kazi hazipo, Why ?, wakati deadline ilikuwa tarehe 20 mwezi wa 6 mwaka 2024 ? kuna tofauti gan ya saa saba usiku (1:00) leo na saa 10:00 leo ? mbona tarehe haijapinduka ? Nani anafanya hivi ?
Nimeattach sceenshot ya hiyo kitu.
Kuna mda network inazingua kupitia mtandao unaotumia....kwa Upande wa Website yao ipo Vinzuri.....
 
Hapo Sasa sijuii Mkuu,but kitu alichomwambia HR ni kwamba hii nafasii ilishagapata mtu Rudi PSRS wakupangie sehemu nyingnee yule dada akarudii ndio nimeona jana amepangiwa PSRS zaidii ya hapo sielewii chchte
Hakuna cha aliyepatikana hapo kwa sababu sasa hivi ajira zote zinatoka SERIKALI KUU lazima Taarifa wangekuwa nazo kama kunamabadiliko PSRS wasingemsumbua dada wa Watu kwenda pale!!!....Hr wanaingiza watoto wao kwa njia ya mkataba.....Mara nyingi report ya CAG zinawaumbua sanaa
Utaona mwakani wanaitangaza tena...
 
Hawa recruitment secretariat wamevuta bangi sio ? Okay iko hivi for days nlikuwa najaribu ku apply hizi kazi za TCRA lakin ikawa inagoma ilihali qualify, nikajaribu kuwapigia sikuwapata, wote tunajua ni ngumu kuwapata hawa jamaa kwenye simu. Sasa leo mida ya saa saba usiku(01:00hrs am), nikajaribu for the last time nikaona imekuubali kuleta sehemu ya ku upload barua, which means walifix hilo tatizo. Nikawa nimepanga leo before saa nne niwe tayari nimeset barua nizi upload, nimeset barua nakuja kuchek kazi hazipo, Why ?, wakati deadline ilikuwa tarehe 20 mwezi wa 6 mwaka 2024 ? kuna tofauti gan ya saa saba usiku (1:00) leo na saa 10:00 leo ? mbona tarehe haijapinduka ? Nani anafanya hivi ?
Nimeattach sceenshot ya hiyo kitu.
Muda umeisha, ulikuwa unazima moto...ungeleta shida yako mapema tungekusaidia
 
Muda umeisha, ulikuwa unazima moto...ungeleta shida yako mapema tungekusaidia
Kwanini uishe kabla ya tarehe 20 mkuu na tangazo halisemi hivyo ? kwanini tuweke masharti ambayo hata sisi enyewe hatuwez kuyafuata ?. Yes the the earlier the better, but i wasn't late either, so this is just a lame excuse, i am not going to buy it. Come with something constructive, not this one.
 

Attachments

  • rs.png
    rs.png
    283.9 KB · Views: 8
Hatimaye nimepata placement TRC
Mwaka huu nilikuwa na oral mbili MDA na LGA, VETA carperntry( majina tarehe 31/05/2024 yalitoka sijapata) , TRC za juzi nimefanya written nilifaulu kwa alama 75, practical alama 64, sikufanikiwa kuingia oral ,ila majina jana yametoka nimepata placement, hakika mungu yupo.

Kati ya saili niliyojiandaa kwa muda mrefu ni TRC, lakini ndio sikufika oral.
Ukifikab oral TRC lakini wakekuita Kazini
Anyway hongera sana mkuu ukawe mtumishi mwema
 
Kwanini uishe kabla ya tarehe 20 mkuu na tangazo halisemi hivyo ? kwanini tuweke masharti ambayo hata sisi enyewe hatuwez kuyafuata ?. Yes the the earlier the better, but i wasn't late either, so this is just a lame excuse, i am not going to buy it. Come with something constructive, not this one.
Mkuu psrs wakikuandika deadline tarehe 5, ufanye mpk tarehe 4 ikifika 5 ..wanaandika closed.
BTW, ukiona taasisi imeweka tangazo la kazi, jitahidi u apply mapema sana...pole sana mkuu
 
Kwanini uishe kabla ya tarehe 20 mkuu na tangazo halisemi hivyo ? kwanini tuweke masharti ambayo hata sisi enyewe hatuwez kuyafuata ?. Yes the the earlier the better, but i wasn't late either, so this is just a lame excuse, i am not going to buy it. Come with something constructive, not this one.
Chief hizo post bado zipo na deadline haijafungwa
Check tena labda kuna shida kwenye browser yako
 
Mkuu psrs wakikuandika deadline tarehe 5, ufanye mpk tarehe 4 ikifika 5 ..wanaandika closed.
BTW, ukiona taasisi imeweka tangazo la kazi, jitahidi u apply mapema sana...pole sana mkuu
mkuu hiyo ni kweli, yan bora hata ningeona closed hizo kazi wameziondoa kabisa link zake hazipo so kama hukuapply hata kuona huzioni, anyways ngoja niachane nao ila wana u-fwala fulan ivi. Thanks
 
Hatimaye nimepata placement TRC
Mwaka huu nilikuwa na oral mbili MDA na LGA, VETA carperntry( majina tarehe 31/05/2024 yalitoka sijapata) , TRC za juzi nimefanya written nilifaulu kwa alama 75, practical alama 64, sikufanikiwa kuingia oral ,ila majina jana yametoka nimepata placement, hakika mungu yupo.

Kati ya saili niliyojiandaa kwa muda mrefu ni TRC, lakini ndio sikufika oral.
hongera.ila sjaelewa vizuri yaan uliishia practical bila oral na umepata placement au interview ya kwanza ndo imekupa asali
 
mkuu hiyo ni kweli, yan bora hata ningeona closed hizo kazi wameziondoa kabisa link zake hazipo so kama hukuapply hata kuona huzioni, anyways ngoja niachane nao ila wana u-fwala fulan ivi. Thanks
Sawa mkuu jipange, weka barua tayar na address ya psrs uiandike fresh
 
Hawa recruitment secretariat wamevuta bangi sio ? Okay iko hivi for days nlikuwa najaribu ku apply hizi kazi za TCRA lakin ikawa inagoma ilihali qualify, nikajaribu kuwapigia sikuwapata, wote tunajua ni ngumu kuwapata hawa jamaa kwenye simu. Sasa leo mida ya saa saba usiku(01:00hrs am), nikajaribu for the last time nikaona imekuubali kuleta sehemu ya ku upload barua, which means walifix hilo tatizo. Nikawa nimepanga leo before saa nne niwe tayari nimeset barua nizi upload, nimeset barua nakuja kuchek kazi hazipo, Why ?, wakati deadline ilikuwa tarehe 20 mwezi wa 6 mwaka 2024 ? kuna tofauti gan ya saa saba usiku (1:00) leo na saa 10:00 leo ? mbona tarehe haijapinduka ? Nani anafanya hivi ?
Nimeattach sceenshot ya hiyo kitu.
ukienda sehem ya engineering and construction naona post ya tcra bado ipo na inawezekana kuapply.labda system cheki baadae
 
Back
Top Bottom