Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Leo nimechukuwa barua yangu psrs, dah! nimefungua huku natetemeka.
Kwa walichoandika ndani ni kwamba saili niliyofanya mwezi wa pili mwaka huu ndio imeniokoa.
Sasa naenda kuripoti kwa HR
Hakika.yale majengo ya psrs na baridi la asubuhi nitayamisi sana.
Msikate tamaa, endeleeni kufanya saili kadri zinavyotoka.
 
Leo nimechukuwa barua yangu psrs, dah! nimefungua huku natetemeka.
Kwa walichoandika ndani ni kwamba saili niliyofanya mwezi wa pili mwaka huu ndio imeniokoa.
Sasa naenda kuripoti kwa HR
Hakika.yale majengo ya psrs na baridi la asubuhi nitayamisi sana.
Msikate tamaa, endeleeni kufanya saili kadri zinavyotoka.
Daah Hongera sana asee mzee baba na ukawe mtumishi mwema👏
 
Leo nimechukuwa barua yangu psrs, dah! nimefungua huku natetemeka.
Kwa walichoandika ndani ni kwamba saili niliyofanya mwezi wa pili mwaka huu ndio imeniokoa.
Sasa naenda kuripoti kwa HR
Hakika.yale majengo ya psrs na baridi la asubuhi nitayamisi sana.
Msikate tamaa, endeleeni kufanya saili kadri zinavyotoka.
Hongera mkuu...
 
Back
Top Bottom