Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama nae siku hizi haonekaniGen Z wametuwakilisha...Mama lazima afanye mambo
SanaaaGen Z wametuwakilisha...Mama lazima afanye mambo
OyeeeGen z oyeeee
😂😂Wewe unalalia tu, mimi lazima niondoke nachosiku bongo tukilianzisha lazima nikakalie kiti cha spika
we subiri tu tena wali wa pale inaonekana ni mtamu balaa lazima niubebee ndizi..😂😂Wewe unalalia tu, mimi lazima niondoke nacho
Jidanganyemwezi wa 7 unaweza kua na neema
'Pumbafu' zetu kabisa🤣🤣🤣Daah ila kenya! Binafsi nimewakubali asee😃🙌sisi tutaishia kucheka cheka kama ninavochekacheka hapa🥲
Gen Z ya bongo ya mchongo, uchawa kutwa kuchaGen z oyeeee
😂😂🙌we subiri tu tena wali wa pale inaonekana ni mtamu balaa lazima niubebee ndizi..
Ila "One Day yes" kitawakaaa tu, sasa sijui ndo na mimi nitakua nimeshaingia serikalini🤔'Pumbafu' zetu kabisa🤣🤣🤣
Utakuwa chawa promax kutoka kwenye mtungi wa asali😂Ila "One Day yes" kitawakaaa tu, sasa sijui ndo na mimi nitakua nimeshaingia serikalini🤔
Daah Hongera sana asee mzee baba na ukawe mtumishi mwema👏Leo nimechukuwa barua yangu psrs, dah! nimefungua huku natetemeka.
Kwa walichoandika ndani ni kwamba saili niliyofanya mwezi wa pili mwaka huu ndio imeniokoa.
Sasa naenda kuripoti kwa HR
Hakika.yale majengo ya psrs na baridi la asubuhi nitayamisi sana.
Msikate tamaa, endeleeni kufanya saili kadri zinavyotoka.
😂😂Utakuwa chawa promax kutoka kwenye mtungi wa asali😂
Hongera mkuu...Leo nimechukuwa barua yangu psrs, dah! nimefungua huku natetemeka.
Kwa walichoandika ndani ni kwamba saili niliyofanya mwezi wa pili mwaka huu ndio imeniokoa.
Sasa naenda kuripoti kwa HR
Hakika.yale majengo ya psrs na baridi la asubuhi nitayamisi sana.
Msikate tamaa, endeleeni kufanya saili kadri zinavyotoka.
Amina sana kiongoziHongera mkuu...